Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,286
Mwili wa mwanamke umeokotwa Bunju B karibu na Idara ya Maji. Kama umepotelewa na ndugu unashauriwa uende kituo cha polisi cha eneo hilo ukautambue.
====
Mwili wa mwanamke/msichana umeokotwa leo maeneo ya BUNJU B karibu na Idara ya maji kwenye nyumba ambayo haijamaliziwa ujenzi (gofu) ukiwa umeharibika vibaya
Maiti imekutwa ikiwa na nguo ya juu tu (blauzi) haliyakuwa chini ni mtupu huku Pembeni ya mwili huo kukiwa na viatu vya kimasai na tight
Hivyo kama kuna mtu amepotelewa na ndugu, jamaa ama rafiki afike kituo cha polisi karibu na eneo kupata taarifa zaidi maana ni mwili unaoonekana umetupwa muda kidogo kutokana na kuharibika kwake.
====
Mwili wa mwanamke/msichana umeokotwa leo maeneo ya BUNJU B karibu na Idara ya maji kwenye nyumba ambayo haijamaliziwa ujenzi (gofu) ukiwa umeharibika vibaya
Maiti imekutwa ikiwa na nguo ya juu tu (blauzi) haliyakuwa chini ni mtupu huku Pembeni ya mwili huo kukiwa na viatu vya kimasai na tight
Hivyo kama kuna mtu amepotelewa na ndugu, jamaa ama rafiki afike kituo cha polisi karibu na eneo kupata taarifa zaidi maana ni mwili unaoonekana umetupwa muda kidogo kutokana na kuharibika kwake.