MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA WADAU WOTE WA ELIMU
Ndugu wanahabari wote,kwanza nimshukuru Mungu kwa uhai na afya njema aliyonijalia hadi siku ya leo.
Ndugu zangu kwanza kabisa niwapongeze wanafunzi wote wa kidato cha sita waliofanya vizuri katika mitihani yao. Hongereni sana.
Ndugu zangu, jana nilijaribu tu kuelezea azma yangu ya kutaka kuirudisha SHULE YA JANGWANI KATIKA HADHI YAKE, lakina nimepokea maoni mbalimbali wengi wakinitia moyo na wengine wakinibeza kwa kua na mawazo hasi. Lakini niseme tu sikukurupuka juu ya hilo.
KWANINI NIMEAMUA KUOMBA NIPELEKWE JANGWANI HIGH SCHOOL NA NINA NINI CHA PEKEE?
Ndugu zangu, mimi ni mwalimu kwa taaluma na siyo wito. Mtu anaweza kua na wito wa ualimu lakini asiwe na maarifa ya kutimiza majukumu ipasavyo,naomba niweke wazi kua nakwenda JANGWANI HIGH SCHOOL KAMA MWALIMU MWENYE WEREDI KAMILI NINAYEJUA JINSI YA KUPUNGUZA KIWANGO CHA UJINGA NA KUONGEZA KIWANGO MAARIFA KWA WANAFUNZI.
Ndugu zangu, rekodi zangu tangu nikiwa shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu ninapenda kusoma na kujifunza njia bora za kufundishia na kujifunzia. Kilichotokea JANGWANI ndicho kinatokea kwenye shule nyingi za binafsi na serikali maana walimu wengi mbali na kutofundisha kwa weledi pia hawana utamaduni wa kusoma vitabu mbalimbali pamoja na majarida mbalimbali yanayohusu ulimwengu wa elimu na namna bora ya kumfundisha mwanafunzi. Mwalimu bora ni yule anayesoma vitabu mara kwa mara na tena vitabu vya waandishi mbalimbali na kujiimarisha kimaarifa.
Mwalimu bora ni yule anayewapenda wanafunzi wake kwa namna ya kuwafanya walipende somo lake na kipindi chake.
Mwalimu bora ni yule anayewatambua wanafunzi kwa majina na uwezo wao wa darasani ili aandae mbinu bora za kuwawezesha kuelewa somo lake kila mwanafunzi kulingana na uwezo wake.
Mwalimu bora ni yule anayewapatia mazoezi,majaribio na mitihani ya kutosha wanafunzi wake na kusahihisha ili kubaini ufaulu na mabadiliko ya wanafunzi kitaaluma na kujua jinsi ya kuwasaidia zaidi.
Mwalimu bora ni yule anayetoa zawadi kwa wanafunzi wanaofanya vizuri na kuwatia moyo wanafunz wale waliopata alama hafifu katika majaribio na mitihani.
Mwalimu bora ni yule anayefanya vikao na mazungumzo mara kwa mara na wanafunzi wake ili apokee maoni na mapendekezo yao kwa lengo la kuwasaidia zaidi.
Mwalimu bora ni yule anayebaini tabia na nidhamu ya wanafunzi wake ili aweze kuwasaidia maana nidhamu bora ndoyo inayozaa matunda bora kitaaluma.
Mwalimu bora ni yule anayewapa muda wanafunzi wake kucheza michezo mbalimbali ili aweze kuwasaidia wanafunzi kupumzisja akili na kujenga afya bora.
Mwalimu bora ni yule anayewapa miongizo mbalimbali wanafunzi wake ili iwasaidie katika masomo yao na maisha yao.
Nugu zangu, nitareje ten ILA NAOMBA NIPELEKWA JANGWANI HIGH SCHOOL NAWAHAKIKISHIA SHULE ITAUSHANGAZA ULIMWENGU KWA KUFANYA VUZURI KITAALUMA.
Na MWL SADICK F MASILU
0652583409
Ndugu wanahabari wote,kwanza nimshukuru Mungu kwa uhai na afya njema aliyonijalia hadi siku ya leo.
Ndugu zangu kwanza kabisa niwapongeze wanafunzi wote wa kidato cha sita waliofanya vizuri katika mitihani yao. Hongereni sana.
Ndugu zangu, jana nilijaribu tu kuelezea azma yangu ya kutaka kuirudisha SHULE YA JANGWANI KATIKA HADHI YAKE, lakina nimepokea maoni mbalimbali wengi wakinitia moyo na wengine wakinibeza kwa kua na mawazo hasi. Lakini niseme tu sikukurupuka juu ya hilo.
KWANINI NIMEAMUA KUOMBA NIPELEKWE JANGWANI HIGH SCHOOL NA NINA NINI CHA PEKEE?
Ndugu zangu, mimi ni mwalimu kwa taaluma na siyo wito. Mtu anaweza kua na wito wa ualimu lakini asiwe na maarifa ya kutimiza majukumu ipasavyo,naomba niweke wazi kua nakwenda JANGWANI HIGH SCHOOL KAMA MWALIMU MWENYE WEREDI KAMILI NINAYEJUA JINSI YA KUPUNGUZA KIWANGO CHA UJINGA NA KUONGEZA KIWANGO MAARIFA KWA WANAFUNZI.
Ndugu zangu, rekodi zangu tangu nikiwa shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu ninapenda kusoma na kujifunza njia bora za kufundishia na kujifunzia. Kilichotokea JANGWANI ndicho kinatokea kwenye shule nyingi za binafsi na serikali maana walimu wengi mbali na kutofundisha kwa weledi pia hawana utamaduni wa kusoma vitabu mbalimbali pamoja na majarida mbalimbali yanayohusu ulimwengu wa elimu na namna bora ya kumfundisha mwanafunzi. Mwalimu bora ni yule anayesoma vitabu mara kwa mara na tena vitabu vya waandishi mbalimbali na kujiimarisha kimaarifa.
Mwalimu bora ni yule anayewapenda wanafunzi wake kwa namna ya kuwafanya walipende somo lake na kipindi chake.
Mwalimu bora ni yule anayewatambua wanafunzi kwa majina na uwezo wao wa darasani ili aandae mbinu bora za kuwawezesha kuelewa somo lake kila mwanafunzi kulingana na uwezo wake.
Mwalimu bora ni yule anayewapatia mazoezi,majaribio na mitihani ya kutosha wanafunzi wake na kusahihisha ili kubaini ufaulu na mabadiliko ya wanafunzi kitaaluma na kujua jinsi ya kuwasaidia zaidi.
Mwalimu bora ni yule anayetoa zawadi kwa wanafunzi wanaofanya vizuri na kuwatia moyo wanafunz wale waliopata alama hafifu katika majaribio na mitihani.
Mwalimu bora ni yule anayefanya vikao na mazungumzo mara kwa mara na wanafunzi wake ili apokee maoni na mapendekezo yao kwa lengo la kuwasaidia zaidi.
Mwalimu bora ni yule anayebaini tabia na nidhamu ya wanafunzi wake ili aweze kuwasaidia maana nidhamu bora ndoyo inayozaa matunda bora kitaaluma.
Mwalimu bora ni yule anayewapa muda wanafunzi wake kucheza michezo mbalimbali ili aweze kuwasaidia wanafunzi kupumzisja akili na kujenga afya bora.
Mwalimu bora ni yule anayewapa miongizo mbalimbali wanafunzi wake ili iwasaidie katika masomo yao na maisha yao.
Nugu zangu, nitareje ten ILA NAOMBA NIPELEKWA JANGWANI HIGH SCHOOL NAWAHAKIKISHIA SHULE ITAUSHANGAZA ULIMWENGU KWA KUFANYA VUZURI KITAALUMA.
Na MWL SADICK F MASILU
0652583409