Ni kweli ili Nyumbani wasimseme saana kuumia kwake ni vizuri kukafanywa kuwa complicated
Michango ya matibabu vipi tunatuma wapi Paskali?Asante kwa taarifa
P
Duh....!.Michango ya matibabu vipi tunatuma wapi Paskali?
Duh....!.
P
Lakini wanaotupenda si hutupa pole mkuuKweli walevi tuko wengi ila tukianguka hatusingizii wasiojulikana.View attachment 1475333
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, niliona viongozi wa juu wa JMT wakimpa pole akiwemo Waziri mkuu pale kwenye zahanati alikolazwa kwa Mara ya Kwanza.Lakini wanaotupenda si hutupa pole mkuu
Kupeana pole ni kawaida hata ukinususurika na sumu uliyoikoroga mwenyewe tunaku_pole tu.Kweli mkuu, niliona viongozi wa juu wa JMT wakimpa pole akiwemo Waziri mkuu pale kwenye zahanati alikolazwa kwa Mara ya Kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mind u sumu haionjwiKupeana pole ni kawaida hata ukinususurika na sumu uliyoikoroga mwenyewe tunaku_pole tu.
Siasa za Tanzania ni uaduiPole Mh. Mbowe, siasa si uadui jamani, tunamtakia kila la kheri arudi ktk majukumu yake ya kuwaletea maendeleo wananchi wake wa Wilaya ya Hai. 😢
Siasa za Tanzania ni uadui