Taarifa kwa Umma kuhusu maendeleo ya Mbowe

Taarifa kwa Umma kuhusu maendeleo ya Mbowe

No haijafikia hatua ya uadui, enmity ni level ya juu sana, ndio maana umeona baada ya Mh. Mbowe kuumia kuanzia Mh. Rais, Waziri Mkuu, Mh. Speaker, Naibu Speaker, na viongozi kadhaa walikimbia mapema kumjulia hali uadui bado hatujaufikia kabisa
Wote hawakwenda kumuona hao , walienda kumuangalia tu
 
I wish watu waelewe kuwa tunachokiona kwa Hawa wanasiasa sio reality Wala maisha halisi .tuko busy kutukanana na kugombana while they're making cash from those conflicts.

Kwa Mimi ambaye nmebahatika kidogo kukaa na Hawa watu wanaojiita wanasiasa sitawahi kuamini neno litokalo midomoni mwao those mind games wanazoplay it's for they are benefits only.
 
Mshahara na posho za hao wabunge mnajua ni sh ngap !?
Afu Leo mnapitisha mchango wa kumchangia mbowe like serious!?
Hembu jioneneeni huruma na maisha yenu.
 
Mshahara na posho za hao wabunge mnajua ni sh ngap !?
Afu Leo mnapitisha mchango wa kumchangia mbowe like serious!?
Hembu jioneneeni huruma na maisha yenu.
Mbona kila issue tunachangaga? Kwani huwa hawana hiyo mishahara yao na marupurupu. Asiyenacho, hata hicho kidogo hunyang´anywa. Wao watoe numbaz hapa, watu tuwawezeshe.
 
Mbona kila issue tunachangaga? Kwani huwa hawana hiyo mishahara yao na marupurupu. Asiyenacho, hata hicho kidogo hunyang´anywa. Wao watoe numbaz hapa, watu tuwawezeshe.
Sijakukataza kuchangia mkuu sikusaidii kutafuta hizo pesa kwao ndio za kwenda kulewea na kuwekea mafuta ya gari.
Mtu anapokea millions per month Ana bima kubwa anashindwa kujitibia !?
 
kiwanda cha konyagi badilisheni jina la konyagi kubwa ile bapa iitwe Mbowe kwa heshima yake.

Baadhi ya wana CCM na Wanachadema wakiagiza hilo chupa kubwa la konyagi bapa wanasema "mhudumu lete Mbowe mbili hapa"
 
kiwanda cha konyagi badilisheni jina la konyagi kubwa ile bapa iitwe Mbowe kwa heshima yake.

Baadhi ya wana CCM na wana chadema wakiagiza hilo chupa kubwa la konyagi bapa wanasema "mhudumu lete Mbowe mbili hapa"
Kwani mwenyekiti wenu jina lake nani?
Haitwi Pombe?
Haongei ki Pombepombe?

Hoja yake ya kupima mbuzi,papai na mafenesi na kukutwa na corona sio Maneno ya kilevi?

Au mliona wapi mtu ugonjwa wa binadamu wapimwe wanyama,ndege na matunda kama si uchizi?

Sasa mmeshaelewa kwamba,mlevi ama chizi ni nani.

Ni mwenyekiti wenu,saa mnaweza kumpa ushauri huo wa kipumbavu kuhusu majina ya konyagi.
 
Pole sana kwake...hata Kama ni mlevi bado ni mtu jamani walevi mbona tuko wengi humu.
Kwa mujibu wa wanaccm walevi huwa hawashambuliwi, lewa zurula usiku usiwe na hofu vibaka hawatakushambulia kwani pombe ni sawa na sanitaiza.
 
Tunamtakia kila la kheri Komredi wetu na mwanamapinduzi wetu apone kwa haraka arudi kukipigania chama chetu pendwa.
 
Back
Top Bottom