Taarifa kwa Umma kuhusu maendeleo ya Mbowe

Taarifa kwa Umma kuhusu maendeleo ya Mbowe

No haijafikia hatua ya uadui, enmity ni level ya juu sana, ndio maana umeona baada ya Mh. Mbowe kuumia kuanzia Mh. Rais, Waziri Mkuu, Mh. Speaker, Naibu Speaker, na viongozi kadhaa walikimbia mapema kumjulia hali uadui bado hatujaufikia kabisa
Ni mtoto tu ambaye ataamini maneno yako...wachawi pia huaga maiti za waliowalogha ili kuthibitisha mafanikio ya kazi yao...Tumefikia pabaya siasa si nyenzo ya mshikamano asilani!!
 
Atapona tu wasiojulikana ngojs niwasomee Dua ya Kwenda mbele halafu kurudi kinyumenyume tuone kama mtapona .
 
kiwanda cha konyagi badilisheni jina la konyagi kubwa ile bapa iitwe Mbowe kwa heshima yake.

Baadhi ya wana CCM na wana chadema wakiagiza hilo chupa kubwa la konyagi bapa wanasema "mhudumu lete Mbowe mbili hapa"
[emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Interahamwe hawakuwa wakipiga mateke Wapinzani wao na kuwaacha bila ya walau kifungo cha shati kukatika

Muwe mnalewa kistaarabu kupunguza lawama za kindezi ndeziHintalahamwe ndio nini?
We punguani, hii serikali yako inatofauti gani na hao INTARAHAMWE? Yuko wapi Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo wengi tu ambao waliuawa kinyama?
 
Mjadala ni Mbowe, punguani nmeelewa, we Kipanga huelewi!

We punguani, hii serikali yako inatofauti gani na hao INTARAHAMWE? Yuko wapi Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo wengi tu ambao waliuawa kinyama?
 
Acha kuruka ruka, jibu swali Mkuu. Huo ndio UBALADHURI wa maCCM, hawaoni shida yeyote kunyongelea mbali raia wema.
Mimi ni raia wakawaida peleka malalamiko yako unapoona yanafaa shenzi ww
 
Idadi ya LUMUMBA buku 7 niliowa ignore/ block hadi sasa imefikia 20
 
No haijafikia hatua ya uadui, enmity ni level ya juu sana, ndio maana umeona baada ya Mh. Mbowe kuumia kuanzia Mh. Rais, Waziri Mkuu, Mh. Speaker, Naibu Speaker, na viongozi kadhaa walikimbia mapema kumjulia hali uadui bado hatujaufikia kabisa
Wale walienda Kama mabibi chaumbeya tuu. Kwani hukumsikia yule mgogo alivyoropoka.
 
Kwani mwenyekiti wenu jina lake nani?
Haitwi Pombe?
Haongei ki Pombepombe?

Hoja yake ya kupima mbuzi,papai na mafenesi na kukutwa na corona sio Maneno ya kilevi?

Au mliona wapi mtu ugonjwa wa binadamu wapimwe wanyama,ndege na matunda kama si uchizi?

Sasa mmeshaelewa kwamba,mlevi ama chizi ni nani.

Ni mwenyekiti wenu,saa mnaweza kumpa ushauri huo wa kipumbavu kuhusu majina ya konyagi.
ukosawa kamanda waambue ukweli hao chama cha kijani kuwa wanakumbuka shoo ya Mond kigoma sasa huyo mkula al mcall mond akiwa kalewa chakali akaanza kumpongeza mond ilikuwA kama saasitaiv kwaiyo huyo mkula yumo xana
 
Mimi ni raia wakawaida peleka malalamiko yako unapoona yanafaa shenzi ww
Makufuli amemfuta uanacha Membe ili asipate mshindani ndani ya chama chake, hiyo ndio demokrasia eti? Kitimoto we.
 
Back
Top Bottom