Huwezi jua bhana, labda mipango ya kutafuta ajira kwingine.Hamna chenu, kafanyeni kazi au tafuteni ajira mpya. Mnalo zaidi?
vitisho vya namna hii haviwezi kumtisha dr. Labda waalimu.[h=6]Mfanyakazi ana kinga ya kutofukuzwa kazi na mwajiri kwa kushiriki mgomo unaokubalika kisheria. Huu siyo. Watapoteza ajira, hawana pa kukimbilia, hawana cha kiwalinda. Kwa madaktari interns, wanahatarisha maisha yao kwani hawatapata cheti cha kudumu wakishiriki mgomo usiokuwa halali. Lazima watafakari sana kwa hayo wafanyayo.[/h]
Nadhani kiswahili kigumu; wameshaambiwa kuwa -- Waache kazi then wakatafute kwingine ambako wanalipa zaidi it's very simple. Wasiwasi wao ni kuwa watagawanyika, of-course hilo lipo hawawezi kulizuia.Madaktari wabinafsi tu hawana lolote.
Madai yao ya kwanza walitaka mabadiliko wizara ya afya kama kipaumbele, mabadiliko yakafanywa na rais. Mponda na Nyoni wote wakaondolewa. Sasa umerudi kivingine wanataka 3.5M nina hakika hata wakipewa hizo mgomo utaendelea pengine this time watadai rais asivae suti awe anavaa kaptula . Huu mgomo ni sababu tu ila hapa ni wazi kuwa hawa madaktari uvivu unawasumbua na wanajua hata wakigoma mwezi mzima serikali itawalipa mshahara unaotokana na kodi zetu sisi wanyonge wakati tukienda hapo Muhimbili hatupati huduma.
Mimi nasema wacha turudi kunywa mizizi fukuza wote tujipange upya.
Taarifa kwa Madaktari wote nchini,
Kamati ya Jumuiya ya madaktari Tanzania inapenda kuwaalika madaktari wote nchini kuhudhuria mkutano mkubwa wa madaktari utakao fanyika siku ya Jumanne tarehe 03/07/2012 kuanzia saa mbili asubuhi katika ukumbi utakaotangazwa baadaye.
Imetolewa na Kamati ya Jumuiya ya Madaktari.
vitisho vya namna hii haviwezi kumtisha dr. Labda waalimu.
na mshahara wa mwezi huu msiuombe kwani hamjafanya kazi yoyote kwa wiki mbili. Aisye fanya kazi na asile. Si mwende huko private hospitals au botswana na ulaya mnakotuhadaishia?
"Jumuia ya Madaktari" ni chama gani.....?! Mbona huku mikoani hatukijui...?
Nadhani kiswahili kigumu; wameshaambiwa kuwa -- Waache kazi then wakatafute kwingine ambako wanalipa zaidi it's very simple. Wasiwasi wao ni kuwa watagawanyika, of-course hilo lipo hawawezi kulizuia.
Hapa wanashangalia ni sisi walalahoi ambao tunaumia wenyewe'wacha madokta wazidi kugoma na sisi ndio tunazidi kuumia'wewe ulisikia hao mawaziri au wanasiasa wanatabiwa tz hata kama hakuna mgomo?nyinyi wachocheeni wazidi kugoma mwisho wa siku nyinyi ndio mnaotumia bodaboda mkishapata ajali ndio mtajua faida ya kuchochea mgomo'
Hata pale tunisia ilibidi kijana ajitoe muhanga kwa kujichoma moto ndipo vuguvugu la kujikomboa kwa haki zikaanza.nitafurahi iwapo ulimboka atalianzisha hapa tanzania.mie ni dakitari fulldose nipo nanyi.7kwani matokeo ya dhambi ,adhabu hujumuika.kuweni kama mizimu msiogope binadamu kwani mmeshavalishwa ushetani ndo maana wanawatoa kucha bila ganzi
vitisho vya namna hii haviwezi kumtisha dr. Labda waalimu.
Hivi madkatari wote hua mnajuana??
Maana nina wasiwasi kina Abeid na ACP Msangi wanaweza kujifanya madaktari wakahudhuria nao
mshikamano daima
Zomba ndiye ACP Msangi shemeji yake na Said Mwema na Rafiki wa Abeid naye huyu ni kutoka Ugweno!