Taarifa kwa madaktari wote nchini

Tunawaomba madaktari wetu chonde chonde kama serikali ni ya kujifunza wameona na watajifunza tunawaomba mludi kazini na serikali isisimamishe hata mtu mmoja wote mlejee kwenye vituo vyenu vya kazi kama kawaida.Mungu awatangulie saaana.CHONDE CHONDE TWAWAOMBA DRs.
 
why meetings? you have two choices, go to work or resign. mlizoea kukaa muhimbili masaa mtano na muda wote mliobaki mnakimbilia Regency, TMJ na kwingineko. mmeiba a lot of equipments and reagents na kuzipeleka ktk hospital zenu. mlaaniwe madaktari waovu
 
Madaktari wabinafsi tu hawana lolote.

Madai yao ya kwanza walitaka mabadiliko wizara ya afya kama kipaumbele, mabadiliko yakafanywa na rais. Mponda na Nyoni wote wakaondolewa. Sasa umerudi kivingine wanataka 3.5M nina hakika hata wakipewa hizo mgomo utaendelea pengine this time watadai rais asivae suti awe anavaa kaptula . Huu mgomo ni sababu tu ila hapa ni wazi kuwa hawa madaktari uvivu unawasumbua na wanajua hata wakigoma mwezi mzima serikali itawalipa mshahara unaotokana na kodi zetu sisi wanyonge wakati tukienda hapo Muhimbili hatupati huduma.

Mimi nasema wacha turudi kunywa mizizi fukuza wote tujipange upya.
Wizara inaongozwa na wapemba watupu watawasikiliza madaktari kweli mmh kuhongana vyeo kwa JK ndio kutakokouua sekta hii ya afya
 
sitisha mgomo au acha kazi. Siasa hatutaki kusikia, pumbafu nyie

Sasa mabingwa wa fani wameamua nao kuweka zana chini kutokana na maamuzi kama haya (sabau zao wamezitaja). Siasa ipo upande gani sasa?
 
wengine humu tuna wachawi na watu wa roho mbaya angalia hata comment zao,. Madakatari wembe ni huo huo hakuna kurudi nyuma hata mkifukuzwa kwani wamekunyanganya ujuzi wako , hamna cha kupoteza, ni bora ukauza nyanya kuliko kunyanyaswa na utaalamu ambao kwanza kuupata ulijikunja na kuteseka. Hakuna masomo magumu kama yenu na kazi yenu ni riski. Msibabaishwe na bwana Dhaifu kaza buti mtashinda mkilegea tu imekula kwenu

wakauze nyanya kama watafikia hiko kiwango cha posho wanayoita? Fikiria kwanza kaka ucandike upuuzi wako 2 ilimradi na wewe uonekane umeandika, au kwa vile hospitalini hayupo babako, mamako au shangazi yako. Waonee huruma watz wenzako foolish.
 
tunaomba mtupe tarifa wapi tunakutana mimi mi mwanachi wa kawaida nataka kuudhulia nawaunga mkono asilimia 100%
 
Life is all about taking risks. And with risks comes the possibility of failure. Staying strong in situations of adversity is what differentiates a winner from a loser. Winners don’t do different things, they do things differently. ‘Stay Strong Quotes’ helps you overcome your innermost fear and brings out the winner in you.
 
Life is all about taking risks. And with risks comes the possibility of failure. Staying strong in situations of adversity is what differentiates a winner from a loser. Winners don’t do different things, they do things differently. ‘Stay Strong Quotes’ helps you overcome your innermost fear and brings out the winner in you.

huwezi kwenda vitani bila kujiaandaa!
 
Hata pale tunisia ilibidi kijana ajitoe muhanga kwa kujichoma moto ndipo vuguvugu la kujikomboa kwa haki zikaanza.nitafurahi iwapo ulimboka atalianzisha hapa tanzania.mie ni dakitari fulldose nipo nanyi.7kwani matokeo ya dhambi ,adhabu hujumuika.kuweni kama mizimu msiogope binadamu kwani mmeshavalishwa ushetani ndo maana wanawatoa kucha bila ganzi

Kaka A Taifa hivi kweli Kama wewe Ni dakitari fulldose kwa nini umuombe mwenzako Dr. Ulimboka akalianzisha Kumbukumbu naye Anapenda kuishi Ndo maana kakubali kutibiwa. Wewe Kama unaona inafaa jiwashe moto ufaidi uwe nyama Choma.
 
Unamsukumia Ulimboka jiwashe moto wewe usikie raha ya kuwaka na kuwa nyama choma mwenzako Ulimboka yaliyompata Kama Kujitoa Mhanga angekataa kutibiwa uhai Muhimu japo madr. Mgomo wenu Ni mwiba kwa maisha ya Watz wanaohitaji huduma zenu. Nyie madr. Mliogoma mna dini kweli misikitini na makanisani mnaenda kweli ninyi
Hakuna dini hapo ndugu yangu, hata mama zao huko vijijini wanakufa wao wanataka hela tu.
 
Back
Top Bottom