JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Ulikua dogo nafikiri enzi hizo za 2015. Kilichotokea ni mwamunyange alitokeza kwenye hafla fulani akiwa na afya tele, jeshi halikua linapayuka payuka kama mlivyotaka. Na hii kama waziri mkuu hamtaki tamko lake basi endelezeni songi lenu mfarijike..
Linganisha statement ya msemaji wa jeshi, na maelezo yanayotolewa kuhusu jpm.