Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

Ume andika sana ila hujawa na uwalali wa kutetea siku hii ya j/pili kuwa ndio siku ya kuabudu ivo serekali iwape uhuru wa kuabudu Yaani siku ya kupigwa kura iamishwe iwe siku nyingine! Mnajenga hoja ambazo ziko nje ya Maandiko ndio maana hata serekali haiwezi kubali kwani siku ya j/pili haijawai tumiwa kama siku ya kuabudu ndani ya kitabu mnacho kitumia kama muongozo wa Imani sasa leo mnakuja na Malalamiko ya nini?, na MUNGU mwenyewe anaona mnadanganya Taifa na kakobe wenu kwani hakuna haki mlio nayo kuhusu j/pili kimaandiko. Hizo ni Taratibu zenu za kibinadamu na sasa zimekutana na Taratibu zingine za kibinadmu sasa tatizo liko wapi? Kuabudu j/pili sio mpango wa MUNGU bali ni Mapokeo ya mwanadamu na leo hii mwanadamu kasema j/pili wote kupiga kura mna laumu nini!!!!! Naendelea kuwashangaa na kakobe wenu Yani nikama mnatumia Biblia ingine sio ile ya kweli.

Sema semaaaaa....... wakirudi wapewe na vifungu!
 
Hii issue ya Mwamunyange time will tell.

Wana JF,

Hatuwezi kuendesha nchi kwa vitisho. Hii ndiyo dalili ya Chama Twawala na Serikali yake kuishiwa PUMZI!
Walikuwa wapi siku zote hizi kujitokeza na kuueleza umma kuhusu ukweli wa uvumi huu? Vitu kama tetesi,uvumi katika jamii ya Watanzania karibia milioni 50 mambo kama haya ni ya kawaida! Labda tuwaulize Jeshi nini maana ya PROs(Public Relation Officers)au Wasemaji wa Taasisi?

Kazi ya PRO ni kutoa ufafanuzi tena kwa haraka kwa jambo lolote linaloihusu taasisi husika ili kuondoa mkanganyiko juu ya jambo lolote na si kutisha watu. Jeshi waache ubabe.

Angalizo: Nchi hii mara nyingi hukanusa mambo fulani fulani yenye ukweli kwa kutaka kuficha jambo mpaka mambo yakisha haribika ndipo wanajitokeza kulamba matapishi yao. Huu ni upuuzi. Mfano mdogo tu wa juzi kuhusu mahujaji wa Tanzania huko Mecca. Kwanza msemaji wa Serikali kasema hakuna hujaji aliyeuawa kulingana na taarifa ya Balozi wa Tanzania huko Saudia. Baadaye wakasema 3 wamekufa, mara 5 mara 8 mara 16 na sasa sijui wamefikia wangapi? Kama jambo limeshatokea kuna haja gani ya kutaka kuwaficha watu ukweli??

Waziri Celina Kombani kafia India, Waziri Kigoda naye kafia Apollo India lakini Serikali ilikuiwa haijawaambia Watanzania kuwa hawa Mawaziri ambao ni viongozi wakuu ndani ya Serikali walikuwa wakiumwa na wako nje ya nchi kwa matibabu!
Habari zinazotolewa ni za VIFO tu kuwa wamefia Apollo wanaletwa kwenye masanduku! This is nonsense!

We need a transparency Government. Let CHADEMA under UKAWA umbrella be voted for the state House for Good governace, transperancy and freedom of speech to all Tanzanians.
 
wote wanaozushiwa kifo hujitokeza hadharani kukanusha mbona yeye kauchuna?

Military mind! haitajiki kukurupuka!,coz kama kuna uzushi may be kuna watu wali plan hiyo kitu then ikagundulika sasa govt ina take advantage ya ku observe safety & security level.Tahadhari usiongee mambo ya jeshi hovyo hao jamaa hawana siasa kama za wahama vyama kama Lembeli wao ni watu wa kazi.HAPA KAZI TU!
 
BADO MMOJA punguza jazba, naona wewe ni mzee kuliko huyu anayesema CCM baada ya kuwa madarakani kwa nusu karne imeishiwa pumzi! Hata hivyo jibu lako hili hapa chini;





Umechelewa Magufuli yupo Ikulu leo ndiyo Rais wa Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyinyi vijana mnaijua hii nchi? Unajua implications za kujaribu kumdhuru mkuu wa majeshi tena wa Tanzania? Hakuna mwenye hiyo jeuri ....pamoja na kuharibika kwa mifumo mingi lakini bado zipo taasisi ambazo huwezi kuzigusa kimchezo mchezo ....fanyeni propaganda huko mlikozoea ....
Sipati picha siku chadema ikishika nchi kwa aina ya hawa wadudu walionao huko chamani! Ona hii post ya 2015, ina comments kama buku alafu zote ni uzushi tu! Mwamunyage hadi leo anadunda tu
 
Nadhani namuelewa huyu kijana. Katika hali yoyote ile, nchi inapoingia kwenye uchaguzi ikatokea Mkuu wake wa majeshi kukutwa na kifo cha kawaida au hata zaidi cha jinai, sio rahisi kwamba nchi hiyo itatangaza kitu kama hicho kabla uchaguzi haujafanyika! Kwa hiyo inabidi aidha wamwachie au wathibitishe kwamba yupo hai. Kazi ipo.
Hivi huyo kijana yu wapi sasa? Maana alirukwa na akili
 
Vipi Mwamunyange nae alijitokeza kuwajibu wahuni?

..Jeshi lilitoa taarifa ambayo ilikuwa inaweza kuthibitishwa.

..kwa upande wa Raisi, zinatolewa taarifa, kwa mfano walichosema Waziri Mkuu, na RC wa Mbeya, ambazo haziwezi kuthibitishwa.
 
..Jeshi lilitoa taarifa ambayo ilikuwa inaweza kuthibitishwa.

..kwa upande wa Raisi, zinatolewa taarifa, kwa mfano walichosema Waziri Mkuu, na RC wa Mbeya, ambazo haziwezi kuthibitishwa.
Na balozi wetu Namibia.

Ila wote hao wadanganye kweli?
 
..Jeshi lilitoa taarifa ambayo ilikuwa inaweza kuthibitishwa.

..kwa upande wa Raisi, zinatolewa taarifa, kwa mfano walichosema Waziri Mkuu, na RC wa Mbeya, ambazo haziwezi kuthibitishwa.
Ulikua dogo nafikiri enzi hizo za 2015. Kilichotokea ni mwamunyange alitokeza kwenye hafla fulani akiwa na afya tele, jeshi halikua linapayuka payuka kama mlivyotaka. Na hii kama waziri mkuu hamtaki tamko lake basi endelezeni songi lenu mfarijike..
 
Back
Top Bottom