Taarifa kuhusu Unibecks Dar

Taarifa kuhusu Unibecks Dar

Neelam35

Member
Joined
Dec 27, 2014
Posts
44
Reaction score
19
Habari wadau. Naomba niwaulize jaman kuna yeyote anajua kampuni hyo ina deal na nini? Niliapply kazi sasa leo nimepokea sms ikitaka nitume 45 elfu ili nipate kazi. Na mshahara wa kwanza nitatoa laki4 nimpe huyo alotuma sms.
Jaman hapa si ndo nataka kuibiwa ? Maana kwa style hii wenzangu wangapi wametumiwa sms?
 
Matapeli hao Mpwa. Muombe muonane umpatie kwa cash au muulize ofisi zilipo umpelekeee
 
Uli-apply ukiwa hujui kampuni ina deal na nini,,,, Watumie kwanza halafu ulete mrejesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom