taarifa kuhusu chain saw

taarifa kuhusu chain saw

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,486
Reaction score
1,271
Tafadhali naomba maelezo kuhusu chainsaw,kwa wale wanaofahamu.
Je bei za Chainsaw zikoje?
Ni brand gani ambazo zinafanya kazi vizuri na kwa ufanisi?
Huwa zinatumia mafuta kiasi gani kwa saa on average?
Je kuna kodi zozote au vibali unavyotakiwa kuwa navyo ili kuweza ku-operate hizi mashine?
ahsanteni
 
Inategemea ukubwa wa chainswa kwa vile ziko size tofauti.
 
Chan saw iliyo nzuri inayofanya kazi vzr Husqavarna, nipigie kwenye namba hii nikupe maelekezo mazuri. 071227574 au 0768642266
 
nafikiri hazishauriwi,ila zinaruhusiwa.....kama sikosei...kama nimekosea naomba mnirekebishe
Mkuu amini HAZIRUHUSIWI kabisa hapa Nchini kwa ajili ya Mazingira
Ngoja waje wajuzi wanaoishi kwenye Misitu km ya West Kilimanjaro, Rombo, Kibosho na kwingineko nimeshasikia na sijasikia km wameshaziruhusu zitumuike tena mwamini kimondo atakuongezea habari zaidi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom