Taarifa juu ya tiba ya Babu

Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo.“Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona kabisa usiendelee kunywa dawa hizo,” alisema.

MWANANCHI.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge.

Mi nikisema babu asimhusishe Mungu kwenye hizi habari naona niko sahihi kabisa.
 
uko SAHIHI KABISA. Maskin ya Mungu nafsi imeanza kumsuta wa2 wanavyokufa hta baada ya kupata kkombe imebd aseme ukwel! Na bdo kn cku atasema nmeongea na Mungu amenambia nistop kutoa dawa mpk atakaponambia tn! 2endlee kumckilza had 2one mwsho wke!
Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo.Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona kabisa usiendelee kunywa dawa hizo, alisema.

MWANANCHI.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge.

Mi nikisema babu asimhusishe Mungu kwenye hizi habari naona niko sahihi kabisa.
 
hahah, huyu mungu wake kiboko. nilisoma pia kuwa kaongeza na magonjwa yanayoweza kutibiwa zaidi ya yale matano ya awali. sasa anatibu mpaka nguvu za kiume na ugumba! nadhani atakuwa kaangalia hali halisi ya soko!

lakini serlikali nayo imezinduka, jana gazeti la mwananchi ilmesema serkali inakamilisha hatua za kumsajili kama mganga wa tiba za jadi

taratibu, yanadhihirika

Uzuri wa "babu" yuko vere fleksibo anaangalia nini hasa matatizo ya jamii then ana advataizi tena amepata bahati halipii hata senti kuadvataizi niliiona hiyo ya nguvu za kiume na ugumba tukae mkao wa kusikia mengi tu kama Mugariga inaongeza makalio na uume :lol:
 
uko SAHIHI KABISA. Maskin ya Mungu nafsi imeanza kumsuta wa2 wanavyokufa hta baada ya kupata kkombe imebd aseme ukwel! Na bdo kn cku atasema nmeongea na Mungu amenambia nistop kutoa dawa mpk atakaponambia tn! 2endlee kumckilza had 2one mwsho wke!

Yani anakoelekea ndio huko.
Acha tu Wakati uamue Mambo.
 
wangezrai c ingekuwa afadhal! Yan watakufa wte kw mkupuo km kuku waliopitiwa na Kideri. Ndo watajuta kumgeuza babu Mungu wao. Tena mi napatwa na mahacra huyu mbabu anapotangaza tn bla aib et ameongea na Mungu!! Labda Mungu wa kinyakyusa! Ye atoe dawa ila aache kujfnya anaongeaga na Mungu! Wataoteshwa weng mwaka huu! C umeona na yule mama wa Tabora jana Tbc1? Wajinga ndo waliwao!

Mbona unasema polepole? watu wanakufa si mchezo yaani kama kuku walipata mdondo................
 

Attachments

  • BABU.jpg
    BABU.jpg
    116.4 KB · Views: 44
Yale yalioandikwa kwenye biblia ndo yanajidhihirisha wazi wazi! Mazee zile cku zilizoandikwa kwenye biblia ndo zinakaribia! Kaeni mkao wa ku2bu na kujiandaa kwa cku hyo! Sio babu tu, nackia kuna bibi ashapatikana tena huko tabora! Eti wameoteshwa ndoto!
 
Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo."Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona kabisa usiendelee kunywa dawa hizo," alisema.

MWANANCHI.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge.

Mi nikisema babu asimhusishe Mungu kwenye hizi habari naona niko sahihi kabisa.

Na hizi ni baadhi tu ya kauli za "babu"

Dawa hii ni lazima unywee hapa hapa na si mahala pengine na mtu anayetakiwa akunyweshe ni mimi tu
Mchungaji Masapila pia alisema kazi ambayo amekuwa akifanya kwa saa zaidi za 13 kila siku, haimsumbui akidai kwamba tayari alikwishamuuliza Mungu kwamba atawezaje kutoa tiba kwa watu wengi ilihali ni mzee na akaelezwa kuwa ataongezewa nguvu.
Naishukuru Serikali maana naona wananiunga mkono, hii ni dawa kutoka kwa Mungu na wala sio mti pekee na nilijua wakipima hawatakuta madhara yoyote kwani Mungu alikwishanieleza kuwa watapima wataalamu wa ndani na nje ya nchi dawa hii na watakuta haina madhara
Hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo
 
Bibi wa Tabora akimwombea mgonjwa wake kabla ya kumpatia 'kikombe'
Source:MICHUZI

DSC02977.JPG

Hawa wapo kama mia hivi tatizo wengine hawajafikiwa na media waganga wa kienyeji ni wengi sana ila sasa hivi wameamua kutoka kitofauti kwa kulitumia jina la Mungu ili waweze kuuza.
 
Naomba CONCLUSION.
So according to utafiti juu ya huo mti anaoutumia babu, Ni nini kinatibu?
Ni mti? au Babu? au Mungu wa Babu?
 
Binafsi nadhani Mungu anakusudi na kila mwanadam,na akitanka kiumbe chake aendelee kuishi basi hilo halina mpinzani,ukisoma vitabu vingi vya dini wapo watu walioteshwa na wapo watu waliongea na Mungu,lkn pia si watu wooote tukinywa panadol tunapona hapana mtu mwingine ni mpaka atumie Hedex au dawa nyingine tofauti.
My take ni:Si wooote watakao enda kwa babu watapona kupona kunategemea Imani na hasa kusudi la Mungu ww kuendelea kuishi.
Babu hawezi kuzuia kifo,so kila mtu kwa wakati wake atakufa hata kama umekunywa dawa ya babu dakika 5 ilizopita.
Kuna watu amabao wako stages mbaya sana za ugonjwa amabo kurecover it will take time and mostly Gods mercy.
lkn zaidi ya yoooote hatulazimishwi kunywa kikombe.
 
Naomba CONCLUSION.
So according to utafiti juu ya huo mti anaoutumia babu, Ni nini kinatibu?
Ni mti? au Babu? au Mungu wa Babu?

Vere simpo huu mti ambao babu anautumia kenya wamekuwa wanaufanyia utafiti miaka minne iliyopita.

Uganga wa kienyeji una ushindani kama sekta nyingine kwa hiyo ndio maana unaona watu kama "babu" na "bibi" wameamua kuwa innovative kutumia jina la Mungu ili wapate wateja. Kwahiyo hata wewe Ndibalema unaweza kuchemsha tu mugariga au mtanda - mboo ukatibu watu ila inahitaji moyo kusema umetumwa na Mungu!
 
Binafsi nadhani Mungu anakusudi na kila mwanadam,na akitanka kiumbe chake aendelee kuishi basi hilo halina mpinzani,ukisoma vitabu vingi vya dini wapo watu walioteshwa na wapo watu waliongea na Mungu,lkn pia si watu wooote tukinywa panadol tunapona hapana mtu mwingine ni mpaka atumie Hedex au dawa nyingine tofauti.
My take ni:Si wooote watakao enda kwa babu watapona kupona kunategemea Imani na hasa kusudi la Mungu ww kuendelea kuishi.
Babu hawezi kuzuia kifo,so kila mtu kwa wakati wake atakufa hata kama umekunywa dawa ya babu dakika 5 ilizopita.
Kuna watu amabao wako stages mbaya sana za ugonjwa amabo kurecover it will take time and mostly Gods mercy.
lkn zaidi ya yoooote hatulazimishwi kunywa kikombe.

Katika wanadamu walioongea na Mungu ni mmoja tu! nae ni nabii Musa mitume wengine walikuwa wakiletewa wahyi/ujumbe kutia malaika gabriel/roho mtakatifu. Juu ya mapenzi yote aliyokuwa nayo Mungu kwa Yesu hakuwahi kuzungumza nae alimtumia roho mtakatifu kufikisha ujumbe babu ni nani amshinde hata Yesu? Someni vitabu vya imani zenu vizuri tatizo hatusomi maandiko ya Mungu ukizaliwa unaitwa Grace au Hassani basi unakuwa umeshakuwa mwislam/mkristo full stop. Hajasikia kutakuwa na ujio wa Dajal? atakuwa na uwezo wa kufufa na kufanya mvua inyeshe na atajiita yeye ni Mungu? Wale wenye kumwamini Mungu wa kweli hatatetereka na imani zao thabiti! Mungu atulinde na haya majaribu.............
 
Vere simpo huu mti ambao babu anautumia kenya wamekuwa wanaufanyia utafiti miaka minne iliyopita.

Uganga wa kienyeji una ushindani kama sekta nyingine kwa hiyo ndio maana unaona watu kama "babu" na "bibi" wameamua kuwa innovative kutumia jina la Mungu ili wapate wateja. Kwahiyo hata wewe Ndibalema unaweza kuchemsha tu mugariga au mtanda - mboo ukatibu watu ila inahitaji moyo kusema umetumwa na Mungu!

conclusion imetulia mpendwa!

yaani wameona kwa miaka mingi waganga wamekuwa wakisema wanatibu kwa kutumia majini sasa wao wameamua kuwa wabunifu na kuja na kitu tofauti! lo.

Mungu atuhurumie watoto wake
 
wangezrai c ingekuwa afadhal! Yan watakufa wte kw mkupuo km kuku waliopitiwa na Kideri. Ndo watajuta kumgeuza babu Mungu wao. Tena mi napatwa na mahacra huyu mbabu anapotangaza tn bla aib et ameongea na Mungu!! Labda Mungu wa kinyakyusa! Ye atoe dawa ila aache kujfnya anaongeaga na Mungu! Wataoteshwa weng mwaka huu! C umeona na yule mama wa Tabora jana Tbc1? Wajinga ndo waliwao!
nami pia nimeoteshwa....
 
Ikithibitika kama kile kikombe ni magumashi 'mungu' wa yule babu tumpe adhabu gani?
Mnakumbuka Eliya na Baali si aliwachinja woote makuhani wa Baali?
 
Back
Top Bottom