Taarifa:hakuna valentine day kwetu ma single

Taarifa:hakuna valentine day kwetu ma single

Nikiwa kama rais wa mabachela(single) na waziri wangu mkuu tinna cute tunatangaza kuwa sisi hatutakua na valentine day kabisa,kufeli kufuata maagizo hayo utakua umejiondoa.
ANGALIZO:mlio na wake zenu na wachumba fanyeni yenu mnayoona yanafaa
Sam Love and tinna cute

Hii ID yako ina neno "love" me nilijua inamaana flani ivi kumbe wewe ni single?
 
Last edited by a moderator:
Single girl + Single Boy = Happy Valentine Day
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom