Haka Ka Chama Bwana! Ningekuwa Mkumbo ningedeal na ufundishaj chuo na kuongoza midahalo tu basi, siasa aachane nayo au naye atunge chama chake
Mkuu, muache Kitila aendelee; siasa pia zinahitaji weledi. Jambo la muhimu wanasiasa wenye taaluma wazitumie kwa faida yawengi, si kwa maslahi binafsi.