Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,994
- 1,770
Hasa huyu Nyakarungu na kuzusha kuwa eti anataka kubakwa na chadema oops sory kutekwa na CDM. Kuna kipindi flani mtu mmoja anajiita Yona alijiteka na kujipeleka Muhimbili halafu akajitelekeza ! yaani nkikumbuka haya mambo ya kina nyakarungu na bethlehem nasikia hasira na uchungu hadi kufa
"Bw. Mwigamba na Prof. Kitila, ni watu wakaidi mno, wabinafsi na waroho wakubwa wa madaraka. Kuwavumilia katika taasisi yoyote ile kunahitaji kuwa na moyo wa chuma; historia zao huko walikofukuzwa zinajulikana."
Ukweli utajulikana tu! Wakati CHADEMA wakiondoa magugu waliitwa kila aina ya maneno lakini sasa ukweli umeanza kuonekana. Asante Viongozi wa chadema kwa umakini wakuwaondoa watu hawa na zitto wao.