Huyu mshamba analazimisha tu ila kiukweli chato ni kijiji chenye miundo mbinu mizuri na ya kisasa,, mji hauna watu na pia mzunguko kibiashara unazidiwa sana na mganza,
Ukifika kwa mara ya kwanza ukaona vibarabara vya mitaa, majengo ya taasisi za umma utasema hapa kuna pesa,,,,, pyeeeeeeee amka asubuhi simama kwenye mataa yake ( maana hapo ndipo town) utalia na macho yako mji mpaka saa nne bado maduka yamefungwa stendi ni kama kituo cha kuomboleza misibani,, hakuna mpishano
Hakika jiwe ni mjinga na mkuu wa washamba