Taa za barabarani rasmi kuwekwa Chato

Taa za barabarani rasmi kuwekwa Chato

Hivi Hilo kabila kenu msiopenda makabila mengine wapate maenseleo tukiwaita mashetani wakubwa nyie mtasema tunawaonea?

Kwani chato wanaishi ngedere kiasi kuwa haeastahili kupelekewa maenseleo Kama mlivypopelekeea nyie?

Nyie endeleeni time na chili zenu mtaviweka vizazi vyenu pabaya
Hebu tulia uandike vizuri,unakuwa kama umepatwa na pepo!
 
Kwani haziwekwi? Mbona kwingine zinakiwekwa hamusemi ? Anyway kabila linalopinga kila kinachofanywa maeneo ya usukumani mbona linajulikana tu hata kwa kiziwi
Geita kwenyewe hakuna hizo taa!
 
Braza taratibu maana mwandiko wako hausomeki
Hivi Hilo kabila kenu msiopenda makabila mengine wapate maenseleo tukiwaita mashetani wakubwa nyie mtasema tunawaonea?

Kwani chato wanaishi ngedere kiasi kuwa haeastahili kupelekewa maenseleo Kama mlivypopelekeea nyie?

Nyie endeleeni time na chili zenu mtaviweka vizazi vyenu pabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nilikuwa Iringa.

Kuna barabara za lami. Na taa za barabarani zipo.

Morogoro napo zipo.

Pwani zipo.

Hizo zote sijasikia mtu akizilalamikia.

Ila za Chato ni nongwa!

Nishawahi kusema humu kuwa ni vigumu sana ku-reason na baadhi ya watu.
 
Zipo, hawa watu chochote kikifanyika Chato it's wrong. Barabara nyingi za mijini,Wilayani taa ni lazima

Cha ajabu sasa, huko Chato kusingekuwepo hata na barabara moja ya lami, hawa hawa wanaolialia kuhusu taa za barabarani, wangemponda Magufuli kuwa hapajali kwao.
 
Juzi nilikuwa Iringa.

Kuna barabara za lami. Na taa za barabarani zipo.

Morogoro napo zipo.

Pwani zipo.

Hizo zote sijasikia mtu akizilalamikia.

Ila za Chato ni nongwa!

Nishawahi kusema humu kuwa ni vigumu sana ku-reason na baadhi ya watu.
Sasa hivi barabara ikijengwa taa na mitaro ni lazima. Vibarabara vyote vipya uswazi vina taa.
 
Cha ajabu sasa, huko Chato kusingekuwepo hata na barabara moja ya lami, hawa hawa wanaolialia kuhusu taa za barabarani, wangemponda Magufuli kuwa hapajali kwao.
Kama wanavyomponda Mkapa kuacha kuijenga kusini.
 
Sasa hivi barabara ikijengwa taa na mitaro ni lazima. Vibarabara vyote vipya uswazi vina taa.

Ni kweli!

EDF7E0BE-333C-4A4D-B302-7FAD88588219.jpeg
 
Chato kumechelewa sana.. yombo , ukonga, mwananyamala, makumbusho kila mtaa una lami na taa hadi ndani ndani ambapo hata wamiliki wa magari hakuna...

Nawaza tu chato kuwekewa taa watu wanaona ishu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Hilo kabila kenu msiopenda makabila mengine wapate maenseleo tukiwaita mashetani wakubwa nyie mtasema tunawaonea?

Kwani chato wanaishi ngedere kiasi kuwa haeastahili kupelekewa maenseleo Kama mlivypopelekeea nyie?

Nyie endeleeni time na chili zenu mtaviweka vizazi vyenu pabaya
Mbona ume-panic? Mtoa made kwani kafanya lipi baya? Yani yeye kutupa update ya jiji la Chattle imekuwa nongwa?
 
Back
Top Bottom