Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,521
- 3,485
Labda mazoezi kama yale ya kahama 🤣 🤣 🤣
Jamani! Jamani!Wadau na nyie mmeona. Kuna ndege imeanguka ziwa Victoria.
===
Ndege Ndogo ya Abiria imeanguka na kuzama Ziwa Victoria. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wamefika eneo la tukio na kutoa msaada kwa abiria walikuwamo kwenye ndege hiyo.
====
UPDATE
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Mussa Mbura amesema hakuna ajali ya ndege leo kwenye Ziwa Victoria Jijini Mwanza bali kilichofanyika ni mazoezi ya utayari.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu, Mussa Mbura amesema yafuatayo "Haya ni mazoezi ya kujiweka tayari ambayo tumeendelea kuyafanya, kama Mamlaka za Viwanja vya Ndege miongozo inatutaka tuwe tunafanya mazoezi ya mara kwa mara kuhakikisha Watu wetu wapo tayari pale inapotokea tatizo kila Mtu kwenye eneo lake awe tayari"
"Serikali ina Airport inazoziendesha takribani 58, haya mazoezi yanatakiwa yafanyike kwenye Airport zote hizo ndio maana mnaona series ya mazoezi kwenye Airport tofauti ndio maana tumefanya Kahama na leo tumefanya hapa Mwanza, kwahiyo hakuna ajali halisi leo kama inavyoripotiwa ni mazoezi tu ya utayari"
WanaigizaKuna jamaa analia anasikika akisema "namtaka mke wangu"
😔😔😔
Binadamu hilo ni zoezi kama zoezi lingine la Utayari.. hatupo serious kabisa 🥸🥸Mmmh na jesho lipo tayari linaokoa!! Hii haiwezi kuwa Tanzania.
Hii habari mbona siielewi kwa hiyo wale wadau wanaigiza pale chini?Wanaigiza
😅😅😅 kaole sanaaa group waleHii habari mbona siielewi kwa hiyo wale wadau wanaigiza pale chini?
Ooooh!! Hapo sawa😂😂😂Binadamu hilo ni zoezi kama zoezi lingine la Utayari.. hatupo serious kabisa 🥸🥸
Daah! Nikajua kweli😅😅😅 kaole sanaaa group wale
Hata maigizo yenyewe hawapo serious wange itumbukiza kwenye maji malefu huko hata katikati tuwaone 😅😅😅Ooooh!! Hapo sawa😂😂😂
Nilitaka nishangae!!
Kuna jamaa analia anasikika akisema "namtaka mke wangu"
😂😂😂😂Hata maigizo yenyewe hawapo serious wange itumbukiza kwenye maji malefu huko hata katikati tuwaone 😅😅😅
Yaani naona kabisa mwamba amekunywa maji mpaka ameota kitambi, utayari gani huu mkuu? halafu mbona hii ndege ni ndogo kama ya kuchonga tu.Hii habari mbona siielewi kwa hiyo wale wadau wanaigiza pale chini?
Itakuwa.Au ndio ilikuwa inapiga rivasi na wachezaji wa Simba kuelekea Entebbe Airport?
Ndo maana hii habari ina ukakasi sana wadau vitambi vimejaa maji kabisaYaani naona kabisa mwamba amekunywa maji mpaka ameota kitambi, utayari gani huu mkuu? halafu mbona hii ndege ni ndogo kama ya kuchonga tu.