GE2025 'System upgrade' ya Benki ya CRDB haisafishi Mafisadi?

GE2025 'System upgrade' ya Benki ya CRDB haisafishi Mafisadi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumatano nimepata hasara kwenye biashara yangu. Sijui nani atanifidia
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Kafie mbele huko CHADEMA. Huna hela
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Dah yani mambo hayaendi kabisa kisa pesa zimeshikiliwa na hii system upgrade
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Normal process na kwa huo muda ni sahihi kulingana na ukubwa wa taasisi
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Wamezingua haswa, jana kutwa nzima nimehangaika kuwasiliananao bila mafanikio mpaka saa saba usiku wa kuamkia leo ndio nikaongeanao.

Ukweli tumeharibu sana kazi zetu kwa hizi siku nne sasa ni hasara kubwa kubwa sana tumepata.
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
wanataka kuficha taarifa za akina Bilionea IGP KAMILIUS WAMBURA. Siku askari wapiganaji wakijitambua wanavyotumika siku hiyo hiyo nchi inakombolewa.
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Umewaza mbali
 
1. Toka nizaliwe sijawahi kusikia benki ina-upgrade system zaidi ya siku 3 mfululizo.

2. Hii system upgrade ya siku kadhaa mbona kama ni mpango Maalum wa kusafisha akaunti za Mafisadi? Wateja wanataabika kwa kukosa huduma ila hawajali. Pesa inatoka kwenye akaunti ila huipati na call centre hawapokei simu wala nini. Toka Jumamosi - Jumamosi nimekupa hasara kwenye biashara yangu.
Maybe labda hujui, wanafanya sana lakin itategemea na upgrades maeneo gani na kwa ukubwa gani, si kila upgrade inachukua siku 3
 
Back
Top Bottom