System tra

aikambe

Member
Jul 5, 2014
90
14
Nimelipia ushuru wa gari yangu aina ya toyota allex bank ya M BANK tawi la mwanza week iliyopita j4 nilikamtumia agent dar es salam akaenda port wanasema system ya tra iko down iko down kwa zaid ya week mbili kwa sasa wanatudai storage hapo TPA BANDARINI sasa ushuru nimelipa kwa muda shida ni TRA Au ndo kula pesa yetu sisi walala hoi nimejikwamua kausafiri ila naona kananienyesha....q mtusaidie tafadhali na hii system tunakoelekea sio pazuri.
 
Ni pazuri kwa sababu ya kukaririshwa na kuogopeshwa katika mfumo wa maisha. Pesa italiwa sana hadi pale tutakapo badilika na kujitambua wapi tuelekee.
 
Ife kabisa hiyo bandari ya Dar, sehemu sahihi isiyo ya ubabaishaji ni bandari ya Mombasa
 
Ife kabisa hiyo bandari ya Dar, sehemu sahihi isiyo ya ubabaishaji ni bandari ya Mombasa
Jamani tupeni mwongozo wa kupitishia mizigo yetu Mombasa tuachane na haya mamburula! Hivi ukipitishia huko ushuru unakuwaje? Ni malipo gani utatakiwa kulipa hapo Mombasa na huku Tz mara mzigo ukifika? Mwakyembe amekalia kupiga kelele tu kwa kuongea kwa sauti ya juu utafikiri bonge la kiziwi!!
 
Nimelipia ushuru wa gari yangu aina ya toyota allex bank ya M BANK tawi la mwanza week iliyopita j4 nilikamtumia agent dar es salam akaenda port wanasema system ya tra iko down iko down kwa zaid ya week mbili kwa sasa wanatudai storage hapo TPA BANDARINI sasa ushuru nimelipa kwa muda shida ni TRA Au ndo kula pesa yetu sisi walala hoi nimejikwamua kausafiri ila naona kananienyesha....q mtusaidie tafadhali na hii system tunakoelekea sio pazuri.

nilitaka kuleta hii thread hapa...TRA ni useless kabisa,system system my ass hawajui kazi yao! mtu unalipia kitu zaidi ya wiki wanakwambia system haionyeshi na unachajiwa storage kwa kosa lao tra shenzi type!!!!!!!!!!!
 
Tulishindwa kutoa container kwa wakati kwasababu ya upuuzi wao huohuo ! Container nyingi sana bado ziko port na watu wanapigwa storage tuu bila kujali kuwa kosa ni la TRA
 
TPA washenzi /wezi kweli mizigo ishalipiwa ubovu ni mfumo wao lakini wanatoza storage fees tu.afu watu wanampongeza waziri mm sijaona cha zaidi ambacho amefanya zaidi ya siasa iyo
 
Back
Top Bottom