Syria watungua ndege ya Israel

Syria watungua ndege ya Israel

Lakini leo iran wametoa tamko na kukanusha kuwa hakuna base yao iliyoshambuliwa wamesema huo ni ungo na swaga za nyau
IDF wametoa hadi video wakionyesha mashambulizi kwenye hiyo base. Iran alichosema ni kwamba hayupo Syria kijeshi bali yeye ni mtoa ushauri tu kwa majeshi ya Syria.
 
DVsbqk6XkAE5ibA.jpg:small

rubani alietunguliwa.

DVtSk3qXcAARzBR.jpg:small
.

Target alizohit israel,

mpaka sasa wanaojulikana kupoteza maisha ni wasyria wawili,syria defence service men huko suwayda.

-observation tower katika airbase T-4.

-SA-5 airdefence battery destroyed.

-SA-17 airdefence battery

-SA-2 battery

-iran mobile command unit


iran saegeh drone
fundi25 unaona hizo air defenses zenu zilivyochakazwa hapo juu[emoji115]

Nalendwa dudus
 
Hutaki kuelewa kwa sababu unafiki umekujaa kila mahali. Nikupe mfano rahisi; una jirani yako anafuga vibaka purposely kukushambulia wewe na familia yako; kutwa kucha hawaachi kuingia shambani mwako au kukurushia vitu vya hatari. Funny eneough, kaona hiyo haitoshi kaamua sasa kujenga kiwanda cha zana na mifumo hatari ili vibaka wake watakapofanya mashambulizi usiweze kujibu mapigo. Utakuwa mpumbavu kupindukia kutochukua hatua juu ya harakati za jirani yako huyo.

Wanachofanya Sysria, Lebanon, na Iran nyuma ya magaidi Hezibollah hakina tofauti na mfano huo. Yaani Israel aone kabisa military bases za hatari zinajengwa tena lengo kuu kumfuta katika uso wa dunia halafu anyamaze kimya? Dah! Punguza basi unafiki Mkuu! Si kila siku Iran anaropoka Israel lazima ifutwe kwenye uso wa dunia? Au hilo kwako sio issue? Mbona Israel hashambulii Misri au Jordan?
Kukusaidia tu ni kuwa katika miaka saba ya hii vita hao “vibaka” hawajawahi kuwashambulia hao Israel unaowaabudu.. Lakini Israel imeshambulia kwa jinsi inavyotaka Lebanon na Syria.. Unafiki uko wapi hapo? Embu weka mahaba kando na tumia common sense kidogo…hii hadisi ya kufutwa kwa israeli katika ramni ya dunia imetokana na ufedhuli wanaofanyia binadamu wenzao.. Ikiwemo kuzuia kabisa pwani ya gaza kisiingie wala kutoka kitu… kufanya gaza kuwa “open prison”… haya unayoyaona ni majibu ya ufedhuli wote huo.. Unajua kuna maazimio mangapi ya umoja wa mataifa yanalaani ukandamizaji huu? By the way sijui kama unajua waafrika weusi wahamiaji wanasakwa huko Israel kwa dau la dola elfu tisa kwa kichwa…
 
Kukusaidia tu ni kuwa katika miaka saba ya hii vita hao “vibaka” hawajawahi kuwashambulia hao Israel unaowaabudu.. Lakini Israel imeshambulia kwa jinsi inavyotaka Lebanon na Syria.. Unafiki uko wapi hapo? Embu weka mahaba kando na tumia common sense kidogo…hii hadisi ya kufutwa kwa israeli katika ramni ya dunia imetokana na ufedhuli wanaofanyia binadamu wenzao.. Ikiwemo kuzuia kabisa pwani ya gaza kisiingie wala kutoka kitu… kufanya gaza kuwa “open prison”… haya unayoyaona ni majibu ya ufedhuli wote huo.. Unajua kuna maazimio mangapi ya umoja wa mataifa yanalaani ukandamizaji huu? By the way sijui kama unajua waafrika weusi wahamiaji wanasakwa huko Israel kwa dau la dola elfu tisa kwa kichwa…
[emoji15] dola elfu tisa kwa kichwa mkuu
 
[emoji15] dola elfu tisa kwa kichwa mkuu
Yep kaka.. raia wa kule wamepewa dili la dola elfu tisa kuwakamatisha miafrika kuirudisha kwao… serikali ilitoa ofa ya dola buku tatu kila mkimbizi “mweusiwafrika” alikubali kurudi kwao kwa hiari jamaa wakachomoa ndo ikaja hiyo… miafrika hamtakiwi huko ila huku JF tunawashobokea balaa…
 
Kukusaidia tu ni kuwa katika miaka saba ya hii vita hao “vibaka” hawajawahi kuwashambulia hao Israel unaowaabudu.. Lakini Israel imeshambulia kwa jinsi inavyotaka Lebanon na Syria.. Unafiki uko wapi hapo? Embu weka mahaba kando na tumia common sense kidogo…hii hadisi ya kufutwa kwa israeli katika ramni ya dunia imetokana na ufedhuli wanaofanyia binadamu wenzao.. Ikiwemo kuzuia kabisa pwani ya gaza kisiingie wala kutoka kitu… kufanya gaza kuwa “open prison”… haya unayoyaona ni majibu ya ufedhuli wote huo.. Unajua kuna maazimio mangapi ya umoja wa mataifa yanalaani ukandamizaji huu? By the way sijui kama unajua waafrika weusi wahamiaji wanasakwa huko Israel kwa dau la dola elfu tisa kwa kichwa…
Imekuwa hadithi tena? Yaani wewe una akili kuliko Ayatollah ambaye amenukuliwa na countless sources akizungumzia kuifuta Israel? Mambo mazito unaita "hadisi" sina sababu ya kuendelea kujadili na mnafiki.
 
Imekuwa hadithi tena? Yaani wewe una akili kuliko Ayatollah ambaye amenukuliwa na countless sources akizungumzia kuifuta Israel? Mambo mazito unaita "hadisi" sina sababu ya kuendelea kujadili na mnafiki.
Ukiona unahamia kwenye mitusi basi hoja unakuwa huna.. Ni jibu kwa hoja tu achana na mineno yako hiyo…by the way huyo Ayatollah ana akili gani za hivyo za ajabu mpaka umemuweka juu hivyo?
 
Ooh tumefanya shambulizi kubwa kuwahi kutokea tangu mwaka 80,,
ha ha ha ha,waisrael kwa kupenda ujiko hawajambo..

Ukweli ni kuwa makombora yao mengi yalikua jammed ama yalitunguliwa,
hizo air defence battery wanazodai kuziharibu hata kama ni kweli zote kwa pamoja hazina thamani ya kuifikia ile ndege,
wala haifiki hata asilimia 1 ya air defence ya syria iliyopo sasa.
Perfomance ya mwaka 1982 ,israel waliharibu karibu nusu ya air defence za syria,
sasa kuharibu viberenge vitatu wanaita major attack since 1982?

Ndo maana syria hawana hata mda nao,wanafanya yao huko idlib,kwani shambulizi la israel halina madhara kama madhara ya isis au al nusra
 
Ukiona unahamia kwenye mitusi basi hoja unakuwa huna.. Ni jibu kwa hoja tu achana na mineno yako hiyo…
Futa neno hadithi; lengo kuu la Iran ni kuifuta Israel katika uso wa dunia; Kiongozi Mkuu amesisitiza mara zote anapozungumzia Israel. Katika mazingira ya aina hii ni nani atabweteka asiwe proactive?
 
Futa neno hadithi; lengo kuu la Iran ni kuifuta Israel katika uso wa dunia; Kiongozi Mkuu amesisitiza mara zote anapozungumzia Israel. Katika mazingira ya aina hii ni nani atabweteka asiwe proactive?
Ni hadithi ya kuku na yai… ama Kiingereza wanasema give and take...kwa yale unayofanyia wenzio usitegemee wao watakuwa wamekaa tu wamebetweka.. Kwa nn Iran asiseme anataka kuifuta Uturuki ama Saudia ama Qatar kutoka uso wa dunia? Hawa wote ni wahasimu wao pia.. Kwann Israel?
 
Mimi naelewa kwanini israel iko so insecure mpaka wameiambukiza na marekani eti nayo iko hatarini urusi inataka kuifuta kwenye ramani,

baada ya israel ya zama zile kuanza kuwa na utawala wao,ulikuwa ni utawala weak sana,
walipochagua tu mfalme sauli,wakawa overtaken na wafilist kwa miaka kadhaa,hawajakaa sawa wakawa overtaken na utawala wa syria wa aramein,hawajakaa sawa alexander the great akawatawala,
haijakaa sawa ufalme wa misri na asyria ,haijaka sawa wakafutwa kwenye ramani na asyria,
hawajakaa vizuri wakafutwa kwenye ramani na babel,wakaenda utumwani mpaka mfalme wa iran akaja kuwakomboa na kuwarudisha caanan.
Sasa ukimuambia myahudi hata kiutani tu utamfuta kwenye ramani hata kama unamtest anakuwa sensitive mno.tangu rais ahmedinejad aropoke hivyo japo hakumaanisha walivyotafsiri ndo waisrael wameshupalia msemo huo,
sasa israel hataki iran awasaidie syria kupambana na waasi,
yaani sasa israel anajipa mamlaka ya kuiamulia syria marafiki.
Sawa tu na marekani kipindi kile kasikia mrusi kaweka makombora pale,nusura roho ziwatoke kwa kiwewe,wakisahau kuwa wao ndo walikuwa wakiitisha cuba mpaka ikaomba msaada soviet.

Iran hawataondoka kamwe syria mpaka pale hali itakapokuwa shwari,

labda wafanikiwe regime change ya iran ama syria which is next to impossible
 
Mimi naelewa kwanini israel iko so insecure mpaka wameiambukiza na marekani eti nayo iko hatarini urusi inataka kuifuta kwenye ramani,

baada ya israel ya zama zile kuanza kuwa na utawala wao,ulikuwa ni utawala weak sana,
walipochagua tu mfalme sauli,wakawa overtaken na wafilist kwa miaka kadhaa,hawajakaa sawa wakawa overtaken na utawala wa syria wa aramein,hawajakaa sawa alexander the great akawatawala,
haijakaa sawa ufalme wa misri na asyria ,haijaka sawa wakafutwa kwenye ramani na asyria,
hawajakaa vizuri wakafutwa kwenye ramani na babel,wakaenda utumwani mpaka mfalme wa iran akaja kuwakomboa na kuwarudisha caanan.
Sasa ukimuambia myahudi hata kiutani tu utamfuta kwenye ramani hata kama unamtest anakuwa sensitive mno.tangu rais ahmedinejad aropoke hivyo japo hakumaanisha walivyotafsiri ndo waisrael wameshupalia msemo huo,
sasa israel hataki iran awasaidie syria kupambana na waasi,
yaani sasa israel anajipa mamlaka ya kuiamulia syria marafiki.
Sawa tu na marekani kipindi kile kasikia mrusi kaweka makombora pale,nusura roho ziwatoke kwa kiwewe,wakisahau kuwa wao ndo walikuwa wakiitisha cuba mpaka ikaomba msaada soviet.

Iran hawataondoka kamwe syria mpaka pale hali itakapokuwa shwari,

labda wafanikiwe regime change ya iran ama syria which is next to impossible
Ha ha ha! Mkuu hadithi yako inavutia sana. Eti tangu Ahmedinejad aropoke; viongozi wa Iran wana chuki mbaya sana kwa Israel; Supreme Leader hafanyi hutba yoyote mahali popote na akaimalizia pasi na kuitaja Israel (utawala dhalimu wa kizayuni) kwa mabaya. Wewe mwenyewe ukiwa mfuasi mtiifu wa Ayatollah (Iran), tumekushuhudia mara kadhaa ukitumia lugha za "maudhi" kwa Israel. Kwa utaratibu huo hata mjinga ni lazima ajihami kwa kila hali.
 
Back
Top Bottom