Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,500
- 16,697
Ajabu ya mambo yalivyo Syria ni kuwa kile kinachofanywa na wananchi kupinga ubeberu na kuunga mkono serikali yao hugeuzwa ni maandamano ya kudai demokrasia.Vyombo vya habari vya kimataifa kama Aljazeera,bbc na Cnn vinavunja hadhi ya kazi ya uandishi wa habari.