Syria inafuatia baada ya Libya

Bashar anarejea makosa yaliyofanywa na wahanga wenzake,Saddam na Ghadafi.Fitna iliyo mbele yake ni kubwa kuliko mbinu alizonazo za kujitetea.Waisrael,waiengereza na wamarekani wako ndani ya Syria wakiongeza kasi ya mashambulio.Miripuko itaendelea dhidi ya jeshi lake ikitajwa ni defectors.Defectors watakuwa wakishangiria bila kumjua nani kati yao aliyefanya hivyo.Vibaraka wa mayahadi katika nchi zote za kiarabu wataendelea kumbana na hatokuwa na pakutokea.

Ili kuepuka kifo cha fedheha atumie mbinu ya Mullah Omar.Abadilike mara moja na kuwa muislamu mchamungu.Agawe silaha zake zote mitaani kwa vikundi vinavyoitwa vya kigaidi. Aseme yote aliyonayo na anayoyaelewa kuhusu maadui zake ambao ni maadui wa uislamu.Asisubiri kuandika kitabu hatopata tena hiyo nafasi.

Baada kufanya hivyo atafute sehemu yoyote duniani ajifiche na kufa kifo cha kimya kimya.Sisi tutampongeza kwa ushujaa huo. Jengine analokusudia kulifanya ni ujinga na halitompeleka mbali.

Ghadafi alifanya mengi kuwaridhisha watu wake na makafiri lakini kwa vile hakufanya kwa malengo ya Mungu Muumba hayakumsaidia chochote.Iran nayo nafasi yake ndiyo hii ya kuvunja vikwazo vyote vya kidiplomasia ambavyo tangu hapo hakuna anayevijali. Aingie Syria kumsaidia Bashar kwa lolote analotaka ili nguvu ya kupambana na waharibifu wa dunia ipate nguvu.Akimalizwa Syria hatokuwa na rafiki yoyote wa kusaidiana naye.
 
Syria nao wana mafuta? Kama wanayo ya kutosha ni mwendo mdundo; si unaona bill waliyopelekewa NTC?
 
http://www.youtube.com/watch?feature=player_profilepage&v=0fiBRjc0J88

Baada ya kumsikiliza huyu gwiji katika video, post #24, kama una muda wa kutosha angalia hii. Utaona mchezo mchafu wa nchi za US-NATO...nini kilitokea Libya, yanayoendelea Syria, Iran, Algeria, walijaribu Venezuela na sasa huo mchezo unasambaa Afrika mashariki.

 
Last edited by a moderator:
'US, Israel funding terrorists in Syria'

A prominent political analyst says that members of the anti-government "Free Syria Army" are not defected army personnel but militants backed, funded and armed by the United States, Israel, and Turkey.

In an article published on Global Research website on November 20, Thailand-based geopolitical expert Tony Cartalucci cited a report released by the International Institute for Strategic Studies stating that Syria's opposition is armed and prepared to drag the country into more violence.

"The report comes in sharp contrast to the propaganda fed via the corporate-media and the West's foreign ministers on a daily basis, where the violence is portrayed as one-sided, with Syria's President Bashar al-Assad 'gunning down' throngs of peaceful, placard waving protesters," Cartalucci wrote.

He said the group calling itself a pro-democracy movement is turning out to be a militant group of extremists trained by British and US intelligence agencies, "whose leadership is harbored in London and Washington and their foot soldiers supplied a steady stream of covert military support and overt rhetorical support throughout the compromised corporate media."

The article described the unrest in Syria, which has killed thousands of people including hundreds of security personnel, as funded by Western corporate-financier interests and part of a long-planned agenda for regime change across the Middle East region.

PressTV - 'US, Israel funding terrorists in Syria'
 
'US, Israel funding terrorists in Syria'

A prominent political analyst says that members of the anti-government "Free Syria Army" are not defected army personnel but militants backed, funded and armed by the United States, Israel, and Turkey.

In an article published on Global Research website on November 20, Thailand-based geopolitical expert Tony Cartalucci cited a report released by the International Institute for Strategic Studies stating that Syria's opposition is armed and prepared to drag the country into more violence.

"The report comes in sharp contrast to the propaganda fed via the corporate-media and the West's foreign ministers on a daily basis, where the violence is portrayed as one-sided, with Syria's President Bashar al-Assad 'gunning down' throngs of peaceful, placard waving protesters," Cartalucci wrote.

He said the group calling itself a pro-democracy movement is turning out to be a militant group of extremists trained by British and US intelligence agencies, "whose leadership is harbored in London and Washington and their foot soldiers supplied a steady stream of covert military support and overt rhetorical support throughout the compromised corporate media."

The article described the unrest in Syria, which has killed thousands of people including hundreds of security personnel, as funded by Western corporate-financier interests and part of a long-planned agenda for regime change across the Middle East region.

PressTV - 'US, Israel funding terrorists in Syria'
Hizi habari ni wazi kabisa.Tatizo ni vipi dunia kwa sasa inakosa watu wa kuzingatia na kuanza mwelekeo mpya!.Mbona mipango ya US na washirika wao ndiyo inayonyooka tu.
Kupitia makala kama hizo za research na matukio nashukuru kwamba kwa sasa huu uadui nauona kadri unavyojitokeza.Nimepata funzo moja kubwa kwamba hawa jamaa huwa wanatumia kila mwanya wa machafuko kuendeleza machafuko.Wameona ni rahisi kujipenyeza penye machafuko kuliko kuanzisha.Huwa wanatumia majina ya watu vibaya.Mfano Alshabaab,Boko Haram kweli wapo lakini hawakuwa na malengo na nia mbaya kama wanavyotangaziwa sasa na hawana uwezo wanaotajwa nao na naamini hawana nia nao.
Marekani na wenzake huwa wanajipenyeza kufanya uovu mbaya usioweza kufanywa na makundi hayo na kuutangazia ulimwengu uovu huo kupitia vyombo vyao vya habari.Hili linapelekea kupata kuungwa mkono kibubusa na watu na mataifa duniani kote.Matukio mengi ya utekaji meli bahari ya Somalia unatia shaka.Mara nyingi watu huwa wanasoma tu na kusikiliza habari kupitia vyombo vya kimagharibi.Hakuna mwenye uwezo wa kuthibitisha na hakuna chombo kingine kutoa maelezo tofauti.
Uzezeta na ujuha wa mataifa ya kiarabu ndio unaopalilia hali mbaya ya dunia tuliyonayo kwa sasa.Alqaeda ya aina ile wala haijapata kutokea.
Siku mataifa yatakapokataa kutumika katika malengo maovu ndipo dunia itatulia.Lakini kwa hali ya sasa ambapo mataifa ya kiarabu yanatumika kujipiga yenyewe na mataifa ya kiafrika yakifanya hivyo hivyo hali itaendelea kuwa mbaya na kudunisha uwezo wa akili binadamu alizoumbiwa nazo.
 
Hizi habari ni wazi kabisa.Tatizo ni vipi dunia kwa sasa inakosa watu wa kuzingatia na kuanza mwelekeo mpya!

Ni kweli kabisa ila kwa bahati mbaya 90% za media ziko chini ya freemasons ambao ni USA,Israel,France nk.

Ndo maana kwa mfani mzuri kabisa ni maandamano yanayoendelea huko USA, news tunazipata through Russia Today,CCTV,IRIB na wengineo.

Lakini maandamano yanayotokea kwingineko fasta tuu unazipata kwenye media everywhere..

It's amazing but their time to collapse is NOW..

Ndo maana hata Bill Clinton alinena wazi kuwa USA ijiandae kupoteza udhibiti wa ulimwengu FUATILIA HII LINK Bill Clinton: U.S. should be prepared to lose global dominance [Voltaire Network]
 
Wakati Ufaransa wanaanza kuweka mkakati wa kuingia Syria kwa kisingizio cha "humanitarian corridor"

France calls for 'Humanitarian Corridors' in Syria. France calls for 'Humanitarian Corridors' in Syria | English | NEWS | DayPress

French President Nicolas Sarkozy wants armed convoys bringing food and medical supplies to those being attacked by government forces


Read more: West moves closer to Syrian intervention as France calls for humanitarian corridor through country | Mail Online

kuna habari hii...
Ufaransa yawapa mafunzo magaidi wanaoipinga serikali ya Syria

Ufaransa yawapa mafunzo magaidi wanaoipinga serikali ya Syria
 
Libya ilianza kama hivi, wabenghazi walianza kuwanyonga watu weusi na askari wa jeshi la Libya. Inaripotiwa kuwa US,France, UK wanapeleka watu waliowaandaa(terror teams) ili kutengeneza uasi. Tayari wameshaweka vikwazo kwa Syria na Iran, wanawapatia mafunzo na silaha makundi ya uasi, pia snipers kutoka CIA na SAS. wameanza kutaka no-fly zone na humanitarian corridors!

 
Last edited by a moderator:
Syria's main opposition bloc and the Free Syrian Army (FSA) rebels have agreed to co-ordinate their action against President Bashar al-Assad.

The Syrian National Council (SNC) also said the FSA had agreed to cut back attacks on government forces, after their first meeting in southern Turkey.

Analysts say the FSA, formed by army deserters, had posed a dilemma to the bloc, which urges non-violent tactics

zaidi hapa BBC News - Syrian opposition to co-ordinate with Free Syrian Army
 
Syria violence escalates

Hours of intense shooting and clashes across Syria killed at least four people on Dec. 2 and wounded dozens more — including an 11-year-old girl who was struck by stray bullets that whizzed across the border into Lebanon, activists and security officials said.





  • [*=center]
    29a9de890d0a291b000f6a706700c6a6.jpg

Pro-Syrian regime protesters gather during a protest against sanctions, in Damascus, Syria, on Friday Dec. 2, 2011. The Syrian violence has led to several rounds of sanctions, a key tool used by the international community to exert pressure on the regime. The measures include travel bans and asset freezes. The EU's latest sanctions, which were announced Thursday, target 12 people and 11 companies. They add to a long list of regime figures ...




  • [*=center]
    54e93fc70d08281b000f6a706700c4b5.jpg
Lebanese anti-Syrian regime protesters shout slogans against Syrian president Bashar Assad as they hold a poster showing Assad in an altered photo composite hanged by a rope with Arabic words reading "very soon," during a protest to show their soldarity to the Syrian protesters, in the northern city of Tripoli, Lebanon, on Friday Dec. 2, 2011. Hours of intense shooting and clashes across Syria killed at least four people Friday and wounded dozens...




  • [*=center]
    640133efb9e4c51aff0e6a706700569d.jpg
A pro-Syrian regime protester flashes V-victory sign during a protest against the Arab League sanctions, in Damascus, Syria, on Monday Nov. 28, 2011. Syria's economy minister called newly approved Arab League sanctions "a dangerous precedent" that will harm ordinary people more than the regime, as tens of thousands of government supporters marched in the capital and other cities to protest against the decision. The Arab League approved on Sunday ...




  • [*=center]
    5ec0b3a5f8050f1a000f6a706700a173.jpg


In this photo taken during a government-organized tour for the media, Georgina Mtanious al-Jammal, the mother of Sari Saoud a 9-year-old boy who was shot dead in Homs three days ago while he was buying cookies from a shop, holds her son's portarit as she mourns at her house, in the village of Kfarbo in Hama province, Syria, on Thursday Dec. 1, 2011. Georgina blamed "armed terrorists" for killing her son. Syria's opposition called a general strike...




  • [*=center]
    TRNic6032057.jpg


  • [*=center]
    Demonstrators demanding reformer in Syria, protest outside the Arab League headquarters in the Egyptian capital Cairo. The Arab League has sent a clear signal that Syria's neighbors do not tolerate the deadly crackdown on dissent by the regime of Syrian President Bashar al-Assad, US officials said Monday. (AFP Photo/Mahmud Hams)




    • [*=center]
      TRNic6033312.jpg


    A giant portrait of embattled Syrian President Bashar al-Assad is carried in a sea of thousands of Syrian demonstrators in the capital Damascus on November 28. The United States pointedly noted Tuesday that it had some differences with Russia despite its "reset" of relations with the Kremlin, after Moscow flexed its muscles on behalf of isolated Syria. (AFP Photo/Louai Beshara)




    • [*=center]
      2011-12-02T141308Z_01_LBN01_RTRIDSP_3_LEBANON.jpg


    • [*=center]

      Lebanese and Syrians living in Lebanon chant slogans as they carry banners and a picture depicting Syria's President Bashar al-Assad with a rope around his neck (L) during a protest in solidarity with Syria's anti-government protesters, in the port city of Tripoli, northern Lebanon, December 2, 2011. REUTERS/Omar Ibrahim (LEBANON - Tags: POLITICS CIVIL UNREST CONFLICT)




      • [*=center]
        dc570897f8040f1a000f6a706700b423.jpg


      In this photo taken during a government-organized tour for the media, relatives of Sari Saoud a 9-year-old boy who was shot dead in Homs three days ago while he was buying cookies from a shop, shout pro-Syrian regime and unity slogans, in the village of Kfarbo in Hama province, Syria, on Thursday Dec. 1, 2011. Georgina the mother of Sari blamed "armed terrorists" for killing her son. Syria's opposition called a general strike Thursday over ...




      • [*=center]
        2011-11-12T132635Z_1_BTRE7AB11CI00_RTROPTP_2_EGYPT.JPG

        [*=center]


Burial shrouds, symbolizing bodies of the protesters who were killed during protests in Syria, are seen at an anti-Syrian government protest before the Arab Foreign Ministers emergency meeting, next to the Arab League Headquarters in Cairo November 12, 2011. REUTERS/Asmaa Waguih

SOURCE: Syria violence escalates Photos | Syria violence escalates Pictures - Yahoo! News

Syria nako kumekucha Haya tungojee mwisho wake itakuwaje?
 
The shadow war in Syria
By Pepe Escobar

Target Syria - the strategic prize that outstrips Libya. The stage is set. The stakes couldn't be higher. Libya 2.0 equals Syria? It's more like Libya 2.0 remix. With the same R2P (''responsibility to protect'') rationale - starring civilians bombed into ''democracy''. But with no UN Security Council resolution (Russia and China will veto it). Instead, Turkey shines, fanning the flames of civil war.

US Secretary of State Hillary ''we came, we saw, he died'' Clinton set the scene on Indonesian TV a few weeks ago, when she prophesied there would be ''a civil war'' in Syria, with a well financed and ''well-armed opposition'' crammed with army deserters.

Now it's up to NATOGCC to make it happen. NATOGCC is of course the now fully accomplished symbiosis between selected....

Zaidi hapa Asia Times Online :: The shadow war in Syria
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom