Swimming Pool ya kwanza kujengwa Mbeya.....

Labda tukuyu mbeya tangu nchi inapata uhuru kuna swimming pools.
 
Hivi jiji gani ambalo lina majengo machache yenye lift?
 
Hivi mbona watu povu linawatoka
sana humu au msumari umegonga mfupa?
 
Hivi ile kanuni ya Archmedency ipo tena kweli, mbona maji hayajaisha
 
ha haaa haaaa naona wanyakyusa na Wamarila povu linawatoka!
poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…