Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,113
- Thread starter
- #21
Sajenti unanichekeshe sana kiasi na kulia kucheka kwangu unasema kuwa huyu Mgambo ni "msukule" wa Waarabu wenye kituo cha mafuta ndio anayewaletea wateja... :becky::becky::becky: sajenti unanivunja mbavu zangu kasheshe kweli Waarabu nao pia wanao "msukule"?:becky::becky::becky:...Na kwa jinsi anavyojishughulisha pale kuelekeza magari lazima achoke. Makonda wa daladala walimpachika jina "msukule" wa waarabu wenye kituo cha mafuta ndio anayewaletea wateja...:becky::becky: