Swaumu inapozidi

...Na kwa jinsi anavyojishughulisha pale kuelekeza magari lazima achoke. Makonda wa daladala walimpachika jina "msukule" wa waarabu wenye kituo cha mafuta ndio anayewaletea wateja...:becky::becky:
Sajenti unanichekeshe sana kiasi na kulia kucheka kwangu unasema kuwa huyu Mgambo ni "msukule" wa Waarabu wenye kituo cha mafuta ndio anayewaletea wateja... :becky::becky::becky: sajenti unanivunja mbavu zangu kasheshe kweli Waarabu nao pia wanao "msukule"?:becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom