Swali

Aksante nimekuelewa

hapo kwenye nyekundu , ngoja narudi kusoma tena!
 
Sisters Carmel na nyamayao jamani yaani maisha ya ndoa kwa kweli nashindwa kuyaelewa. Unajua itafika mahali tutachoka nasi tuwe tunaharibu tu. Bora nyamayaio mwenzetu we alishakuelewa ulivyo so ujinga jinga hawezithubutu.

hahahah, ujinga ujinga upo tu, we usimfatishe mwenzio itakula kwako lol
 
Geoff ndo picha niliyoipata hata mimi imenibidi niwe mpole tu na dunia yangu ya kufikirika!

Ukishaukubali ukweli huu utaishi raha mustarehe ndani ya ndoa. We kazi yako inakuwa kumkumbusha mzee kila siku asubuhi. "Leo ukipata......Nimesahau lile neno lako.... kichakubimbi tafadhali hakikisha unatumia kondom"
 
unapotumia lugha hadhana ya kiswali kujadili muswaada huwa unanifurahisha sanaπŸ˜€
hapo kwenye bolded na underligned part ndo palipolala dhima ya hii esai yako!SENKSI
 
ndio mana nikakosa la kusema dearest, MJ1 katokea huko huko lakini kashasahau mara.
Wewe nitakupigia jioni kwa ajili ya hapo bolded and underligned...!inaonekana una mengi ya kuongeaπŸ˜€
page ya sita bado
 
may be ppl are different but I wouldnt really worry if his phone is off actually I prefer his phone to be off whenever I am with my guy... so if he put it off for me I really appreciate that...
wewe nadhani mshiki alikuwahi tu!adhawaisi NINGEKUWOWA!i like them totooz of your type...!PAMOJAAZ
 
Ukishaukubali ukweli huu utaishi raha mustarehe ndani ya ndoa. We kazi yako inakuwa kumkumbusha mzee kila siku asubuhi. "Leo ukipata......Nimesahau lile neno lako.... kichakubimbi tafadhali hakikisha unatumia kondom"
Hahhaha visokorokwinyo babu ah

Kuna siku niliapply hii bana loh kidogo initokee puani enzi hizo mana nilianza kufokewa ' umenionaje mimi, unafikiri mie ..... au we ndo unayafanya haya oh ah hee ilimuradi tu vurugu. Nikasitisha hata zoezi nililokuwa nalo la kumwekea zana kwenye briefcase
 
MJ1 huwa ana dunia yake ya kufikirika (kama anavojisemea mwenyewe)
lakini tukija kwenye ulimwengu halisi tuishimo KUWAACHA WANAUME WADUMISHE MILA KADRI WATAKAVYO ndo maisha....

nakupata dadaake mimi!SENKSIπŸ˜€
 
Wewe nitakupigia jioni kwa ajili ya hapo bolded and underligned...!inaonekana una mengi ya kuongeaπŸ˜€
page ya sita bado
Ufukunyuku huo tena. Ukimpata utaona ni kwa nini sitaki kuwa rafiki wa MSHIKI wake X-pin
 
Haswaa, kwanza inaongeza contration kwenye mazungumzo na malavidavi kati yenu!
kumbe wanachama tuko wengi eeh?
nilidhani ni mimi,kaizer,xpin na fidel80 tu....
 

give us scientifically evidence to prove ur point... mie sipekui simu yake lakini doesnt mean I am OK with him screwing other women... πŸ™„ kama anafanya siri siwezi kujua lakini akianza dharau ya kinionyesha then its a totally different issue..
 
anazimaga akiwa na wife luv...tena akija LIKIZO


Kaizer ple....ase. Usilete mchezo wa kuwaachia watoto wacheze na visu tena vilivyonolewa na wale jamaa wa machinjioni. Hapa mahali siyo salama. Siyo tene yellow light, red imewaka kabisa. Ni hatari kuliko unavyoweza kudhania!
 
MWenzangu nilifikiria ni mimi tu nilifanyaga bad choice kumbe .........Ama kweli sifai tena kuwa mshauri wa ndoa
...ndo maana nimesitisha plan yangu ya kukukutanisha na mshiki!utamshauri anishikie kisu bureeeeeeeπŸ˜€
 

haka ndo ka-sala kanakoJUSTFY DHAMBI YETU SAFI!πŸ˜€
 
Sasa mshiki ndo unamtosa tena? Asije akajidanganya Geoff ni mali yake mwenyewe!
NIMEKUGONGEA SENKSI kwa huo mstari maridadi kabisa...!mimi ni mali kila mtu.ndo maana bia zangu nakunywa CHAWOTEπŸ˜€
 
Kaizer ple....ase. Usilete mchezo wa kuwaachia watoto wacheze na visu tena vilivyonolewa na wale jamaa wa machinjioni. Hapa mahali siyo salama. Siyo tene yellow light, red imewaka kabisa. Ni hatari kuliko unavyoweza kudhania!
Yaani DC unefafanua ungekuwa umenitendea haki kweli kaka yangu please. It seems una elimu hapa umeibania
 
Ukishaukubali ukweli huu utaishi raha mustarehe ndani ya ndoa. We kazi yako inakuwa kumkumbusha mzee kila siku asubuhi. "Leo ukipata......Nimesahau lile neno lako.... kichakubimbi tafadhali hakikisha unatumia kondom"


cpo tayari kuhalalisha hicho kitendo, kama anafanya afanye akitumia akili zake zote nicmbambe.....mweh
 
NIMEKUGONGEA SENKSI HAPOOOOO!...acheni wanawake waitwe wanawake bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…