Blackman JF-Expert Member Mar 11, 2012 827 296 Mar 16, 2012 #1 Jamani hivi rada ni kitu gani tokea mwaka jana nasikia tu ununuzi wa rada ununuzi wa rada nisaidieni
DEVINE JF-Expert Member Mar 11, 2011 536 86 Mar 16, 2012 #3 Ni begi wanalolitumia mafisadi kuweka pesa zao,kama sikosei.
nelly nely JF-Expert Member Feb 12, 2012 665 229 Mar 16, 2012 #4 me nasikia inafanana na miguu ya kuku....sina hakika lakini
Deejay nasmile JF-Expert Member Nov 8, 2011 5,759 5,289 Mar 16, 2012 #5 Ha hiki ni kichekesho kumbe lol
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Mar 16, 2012 #6 Ni kama chemchei hv inapatikana maji ya kilimanjaro
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Mar 16, 2012 #7 Deejay nasmile said: Ha hiki ni kichekesho kumbe lol Click to expand... ...utani.
toghocho JF-Expert Member Mar 16, 2011 1,172 198 Mar 16, 2012 #8 r for radio a for ambayo d for daima a for anayo membe
Nish JF-Expert Member Jul 22, 2011 730 114 Mar 16, 2012 #10 Acheni bwana hivi ni vidonge wanatumiaga mafisadi wakipata sukari kubwa
Blackman JF-Expert Member Mar 11, 2012 827 296 Mar 16, 2012 Thread starter #11 sukari gani ndugu yangu ugonjwa au?
Nish JF-Expert Member Jul 22, 2011 730 114 Mar 16, 2012 #12 Whiteman said: sukari gani ndugu yangu ugonjwa au? Click to expand... Si ile miwaya
dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Mar 17, 2012 #14 Mkuu watuaibisha mwana hata hii hujui? Ok, hii ni mashine ya kunyanyulia matiti ya kina dada zetu yaliyosinzia. Hope utakuwa umeelewa.
Mkuu watuaibisha mwana hata hii hujui? Ok, hii ni mashine ya kunyanyulia matiti ya kina dada zetu yaliyosinzia. Hope utakuwa umeelewa.
DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Mar 17, 2012 #15 Ni limtambo flani ambalo limesababisha watanzania wengi wawahi kuota mvi kabla ya wakati.