Join Date : 14th November 2010
Posts : 2,105
Thanks 100 Thanked 400 Times in 246 Posts
Rep Power : 25
Re: SERIKALI: Katiba mpya 2014
CHADEMA TUPENI MELEZO HARAKA JUU YA SWALA ZIMA KATIBA MPYA NA
TUME HURU YA UCHAGUZI
Tafadhali Mhe Dr Slaa, Mhe Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na Uongozi wetu Mzima wa BAVICHA pamoja na Matawi yetu kote nchini na Vyuo Vikuu, tupeni majibu sisi wapenzi na wanachama wa CHADEMA kwamba haya ya Oliver Mhaki yatoka wapi na kwa ruksa ya nani tena???
Chonde tuokoeni na hizi hasira na kinyaa cha ofisi za Waziri Mkuu na Wizara ya sheria: Uongozi wa juu CHADEMA, kama jambo la dharura kitaifa, tunaomba ufafanuzi wenu juu ya hizi KERO ZA KUPIGISHA DANADANA SWALA ZIMA LA KATIBA MPYA NCHINI na vile vile mtufahamishe kwamba mpaka hivi sasa nyinyi wenyewe mnafahamu nini na mmeshirikiswa kiasi gani juu ya SWALA MASWALA NYETI ya:
1. Tarehe ya muswada kupelekwa bungeni???
2. Muswada wenyewe huo ni wa aina gani na je unasema kama wananchi tunavyotaka wenyewe???
3. Haki ya serikali ya CCM kujipangia ratiba ya zoezi hili muhimu sana kwa maisha yetu kitaifa wamepata wapi??
4. Je, inamaana CHADEMA hamtaki kutii amri yetu wananchi kupeleka mswada wetu kule bungeni kupitia kwa dogo Mnyika???
NB: CHADEMA tupeni majibu ya uhakika na kwa haraka sana juu ya hili swala ambalo kumbe huko serikalini wameligeuza mdoli. Mungu wangu kumbe hawa CCM wapuuzi hivi?? Ngoja!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.