Swali.

msnajo

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
3,066
1,136
Kwa nini jf members mnatumia majina ya ajabu namna hii. Mengine hayafai hata kutamka. Au tunaogopa kujulikana?
 
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 14th November 2010
Posts : 2,105
Thanks 100 Thanked 400 Times in 246 Posts

Rep Power : 25


icon1.png
Re: SERIKALI: Katiba mpya 2014


CHADEMA TUPENI MELEZO HARAKA JUU YA SWALA ZIMA KATIBA MPYA NA
TUME HURU YA UCHAGUZI

Tafadhali Mhe Dr Slaa, Mhe Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na Uongozi wetu Mzima wa BAVICHA pamoja na Matawi yetu kote nchini na Vyuo Vikuu, tupeni majibu sisi wapenzi na wanachama wa CHADEMA kwamba haya ya Oliver Mhaki yatoka wapi na kwa ruksa ya nani tena???

Chonde tuokoeni na hizi hasira na kinyaa cha ofisi za Waziri Mkuu na Wizara ya sheria: Uongozi wa juu CHADEMA, kama jambo la dharura kitaifa, tunaomba ufafanuzi wenu juu ya hizi KERO ZA KUPIGISHA DANADANA SWALA ZIMA LA KATIBA MPYA NCHINI na vile vile mtufahamishe kwamba mpaka hivi sasa nyinyi wenyewe mnafahamu nini na mmeshirikiswa kiasi gani juu ya SWALA MASWALA NYETI ya:

1. Tarehe ya muswada kupelekwa bungeni???
2. Muswada wenyewe huo ni wa aina gani na je unasema kama wananchi tunavyotaka wenyewe???
3. Haki ya serikali ya CCM kujipangia ratiba ya zoezi hili muhimu sana kwa maisha yetu kitaifa wamepata wapi??
4. Je, inamaana CHADEMA hamtaki kutii amri yetu wananchi kupeleka mswada wetu kule bungeni kupitia kwa dogo Mnyika???

NB: CHADEMA tupeni majibu ya uhakika na kwa haraka sana juu ya hili swala ambalo kumbe huko serikalini wameligeuza mdoli. Mungu wangu kumbe hawa CCM wapuuzi hivi?? Ngoja!!!!!
 
Back
Top Bottom