Nyinyi mnaonaje hili swala na Ulisikiaje ulivyotoa Mahari .
Mi naona sawa tu, kwani mkuu ww unataka mahali isiwepo?
Hahahaha waliona mbali aisee.. Jamaa wanaweza kuja kudai chao.Mimi wazazi wangu walikataa na ninaona Kama vimepitwa na wakati vile.Nia yake ninini haswa?
Heshima sana, sikubali kupewa mke bila kutoa 'kazawadi'. Hasa kale kasikokwisha, yaani deni linaendelea tu kuwepo!