Swali: uenyekiti wa ccm

Kaunga unamaanisha tumhurumi Magufuli ili chama chake kitawale tena? Never
 
Last edited by a moderator:
Mbona magufuli mwenyewe huwa ktk mikutano yake anasema AJILA badala ya AJIRA, MALAFIKI badala ya MARAFIKI. Yeye allisoma wapi?. Jitambue bibi

Umeshasema "anasema", sasa hapa kuna mtu "anasema"?

Nnaelewa sana kuwa Tanzania hii makabila mengine lafdhi zao ni mbovu sana kwa Kiswahili, hususan wale ambao hawajapitia madrassa. Lakini hata kuandika basi? Fikiri.
 
Kwani hili jina liko kwenye syllabus za shule?
Jina lenyewe la kilugha, spelling hazituhusu

Unazidi kujidhihirisha kuwa ujinga upo kwenye genes zako. Sikushangai hata chembe.

Mwacheni Mkapa ajisemee kweli "wapumbavu na malofa".
 
Tuomezoea au sijui iko kwenye katiba yao kuwa Rais ndiye anakuwa mwenyekiti wa ccm.
Sasa kwavile dalili za ccm kuwa chama cha upinzani ni kubwa, so mwenyekiti atakuwa aliyekuwa mgombea wa uraisi? Au watachagua mwingine mwenye uzoefu kidogo?

Mgombea amekuwa akiahidi kuleta mabadiliko ndani ya chama. Sasa wananchi tukimkata, wenye chama chao wataendelea kuona umuhimu wake au ndio itakuwa imetoka?

Nina wasiwasi mkubwa watamdiss, sasa wito kwa watanzania wamuhurumie Magufuri wasimkate ili aweze kuwa mwenyekiti wa chama akifumue kama alivyoahidi. Au mnaonaje?

Njia nzuri ni kumkata Magufuli.Maana Uenyekiti wa Jakaya Unaishia 2017 tunataka JK naye awe mwenyekiti wa CHAMA CHA UPINZANI.Akitaka kufanya mkutano anaomba kibali akizidisha dakika tano virungu vinamhusu
 
Unazidi kujidhihirisha kuwa ujinga upo kwenye genes zako. Sikushangai hata chembe.

Mwacheni Mkapa ajisemee kweli "wapumbavu na malofa".

Duuuuu, unahasira. Punguza presha mama. Utapata maradhi ya moyo
 
Kofia oyeeeeeeeeeeee, miwani oyeeeeeeeeeeee, fimbo oyeeeeeeeeeeeee sasa tucheze chandimu. Ndio maaana vyuo vinatoa elimu ya siasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom