Dah! Hata mi harakaharaka niliwaza 4 ila baada ya kusoma post yako nimenote namimi ni cup no 5!Ukijibu bila mikurupuko yeyote kama ilivyo desturi ya watanganyika wengi basi na 5 ndio ya kwanza kujaa ila ukikurupuka tu lazima useme 4 ,samahani lakin sija mlenga mtu.
Angalia tena vizuri utagundua ni 5 na si 4Duuuh.....UMEKURUPUKA vibaya, ila usijali hii ni awamu ya WAKURUPUKAJI.
Namba 4 itatangulia kujaa kabla ya nyingine zote.
Outlet ya namba 1 kwenda namba tatu iko chini kuliko kwenda namba 2. Na ukizama zaidi, kama hamna jinsi ya ku-contain kimiminika hicho kwenye namba 3, basi upande wa namba 2 hautapata kitu.
Angalia vzur njia ya kujaza 4 imefungwa, litajaa Hewa tuNataka kuona ukitengua Kauli yako....
Binafsi naona 5 ndo litafuatia kujaa baada ya 4...
Thibitisha kwa nini 5 liwe kwanza?
Si 5 wala 4 bali ni 3Dah! Hata mi harakaharaka niliwaza 4 ila baada ya kusoma post yako nimenote namimi ni cup no 5!
Duuuh....sasa kwanini wameziba hizo njia lakini??? NIMEKURUPUKA MBAYAAisee namba tatu ndo litawahi kujaa. Hapo mpira unaotumika kupeleka namba tano kumbe nao umziba mbele.. (Hili wenge la kujibu fasta)
Kweli NIMEKURUPUKA aiseeee.Hahahhaaaaaaa watanganyika bwana sijui nani katuloga hakika , blah blah nyiiingi wakati hakuna umakini wowote NAENDELEA KUSISITIZA WAKURUPUKAJI LAZIMA WASEME NAMB 4 KAMA WEWE
Mi na wewe tumekurupuka kama jamaa alivyosema, namba 5 njia ya kupeleka maji imefungwa....Angalia tena vizuri utagundua ni 5 na si 4
Namba 3, sasa nina uhakikaDah! Hata mi harakaharaka niliwaza 4 ila baada ya kusoma post yako nimenote namimi ni cup no 5!
Mbona mi naona iko waziMi na wewe tumekurupuka kama jamaa alivyosema, namba 5 njia ya kupeleka maji imefungwa....
Eeeh! Yamekua hayoo....!Hahahhaaaaaaa watanganyika bwana sijui nani katuloga hakika , blah blah nyiiingi wakati hakuna umakini wowote NAENDELEA KUSISITIZA WAKURUPUKAJI LAZIMA WASEME NAMB 4 KAMA WEWE