Swali: Tenki lipi litawai kujaa?

Swali: Tenki lipi litawai kujaa?

No 3 cup....lete technical question kama TRA written interview ..ukipata wa kwanza unakuta ana 3%marks
 
Duuuh....sasa kwanini wameziba hizo njia lakini??? NIMEKURUPUKA MBAYA

Wameziba ili mtu unapojibu atleast kidogo utulize kichwa mkuu . Ndo maana wanasema asilimia 99, watakosea kujibu..
 
Back
Top Bottom