Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 828
99% will fail
Nataka kuona ukitengua Kauli yako....Ukijibu bila mikurupuko yeyote kama ilivyo desturi ya watanganyika wengi basi na 5 ndio ya kwanza kujaa ila ukikurupuka tu lazima useme 4 samahani lakin sija mlenga mtu.
Naona ninekurupuka kujibu,lakini naona still ni 4Ukijibu bila mikurupuko yeyote kama ilivyo desturi ya watanganyika wengi basi na 5 ndio ya kwanza kujaa ila ukikurupuka tu lazima useme 4 samahani lakin sija mlenga mtu.
Sawa tuendelee kusubiri majibu ya wachangiaji wengi huenda wapo watakao ungana na mimi na kauli sita itengua abadanNataka kuona ukitengua Kauli yako....
Binafsi naona 5 ndo litafuatia kujaa baada ya 4...
Thibitisha kwa nini 5 liwe kwanza?
Duuuh.....UMEKURUPUKA vibaya, ila usijali hii ni awamu ya WAKURUPUKAJI.Ukijibu bila mikurupuko yeyote kama ilivyo desturi ya watanganyika wengi basi na 5 ndio ya kwanza kujaa ila ukikurupuka tu lazima useme 4 samahani lakin sija mlenga mtu.
Ukijibu bila mikurupuko yeyote kama ilivyo desturi ya watanganyika wengi basi na 5 ndio ya kwanza kujaa ila ukikurupuka tu lazima useme 4 ,samahani lakin sija mlenga mtu.
Duuuh.....UMEKURUPUKA vibaya, ila usijali hii ni awamu ya WAKURUPUKAJI.
Namba 4 itatangulia kujaa kabla ya nyingine zote.
Outlet ya namba 1 kwenda namba tatu iko chini kuliko kwenda namba 2. Na ukizama zaidi, kama hamna jinsi ya ku-contain kimiminika hicho kwenye namba 3, basi upande wa namba 2 hautapata kitu.
Duh! Mm ndo nimetengua Kauli Mkuu, baada ya kufumba jicho moja, Makengeneza na yenyewe ni shida.Sawa tuendelee kusubiri majibu ya wachangiaji wengi huenda wapo watakao ungana na mimi na kauli sita itengua abadan
Hahahhaaaaaaa watanganyika bwana sijui nani katuloga hakika , blah blah nyiiingi wakati hakuna umakini wowote NAENDELEA KUSISITIZA WAKURUPUKAJI LAZIMA WASEME NAMB 4 KAMA WEWEDuuuh.....UMEKURUPUKA vibaya, ila usijali hii ni awamu ya WAKURUPUKAJI.
Namba 4 itatangulia kujaa kabla ya nyingine zote.
Outlet ya namba 1 kwenda namba tatu iko chini kuliko kwenda namba 2. Na ukizama zaidi, kama hamna jinsi ya ku-contain kimiminika hicho kwenye namba 3, basi upande wa namba 2 hautapata kitu.
Nisaidie ndugu yangu hawa watu kwakweli hawana udadisi kabisaa lakin ndio desturi ya watanganyika ni wakurupukaji kwa kila jamboMkuu namba nne haliwezi kujaa.. Mpira wake umezibwa mwanzoni tu .kwaiyo maji hayaendi kabisa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hamna tenki litakalojaa maji yatakatika tu