Swali Tegeshi: Ikitokea Hivi, Itaendelea kuwa Vile?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Itokee kwamba kwa sababu zozote za Kikatiba Rais Samia anashindwa kumalizia kipindi kilichobakia Cha pili cha Magufuli na Mpango anakuwa Rais. Na yeye Mpango anachagua Makamu wake na yeye kabla ya 2025 anashindwa kumalizia na huyo Makamu anakuwa Rais..je wote watakuja wanaendelea kurithi Baraza la Mawaziri la JPM? Kwamba inawezekana kosa la kutokuvunja Baraza baada ya Samia kuapishwa ni kubwa sana ukifuatilia hitimisho lake la kimantiki?

Ni kweli Katiba inatofautisha kuapa kinachotokea baada ya Rais aliyeshinda Uchaguzi kuapa na kile kinachotokea baada ya Makamu anayekuwa Rais baada ya mtangulizi wake kushindwa kuendelea madarakani?

The failure to dissolve the cabinet following the swearing of President Samia could be declared categorically and emphatically to be the worst constitutional blunder in our history.
 
Leo mbona umeandika kidogo nasomaga sana nyuzi zako bro kichwa yako naiaminia.
Wapelekee moto watoto wadogo wa ufipani pale kwa aikaeli na chama chake cha kishimundu.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Mkuu swali tegeshi ni zuri ila nina inani kuwa Mh.Rais Samia aliona kuvunja Baraza na kuliteuwa hilohilo ni kupoteza muda.Kuna kila kiashiria walishirikiana na Hayati JPM kulisuka
Itokee kwamba kwa sababu zozote za Kikatiba Rais Samia anashindwa kumalizia kipindi kilichobakia Cha pili cha Magufuli na Mpango anakuwa Rais. Na yeye Mpango anachagua Makamu wake na yeye kabla ya 2025 anashindwa kumalizia na huyo Makamu anakuwa Rais..je wote watakuja wanaendelea kurithi Baraza la Mawaziri la JPM? Kwamba inawezekana kosa la kutokuvunja Baraza baada ya Samia kuapishwa ni kubwa sana ukifuatilia hitimisho lake la kimantiki?

Ni kweli Katiba inatofautisha kuapa kinachotokea baada ya Rais aliyeshinda Uchaguzi kuapa na kile kinachotokea baada ya Makamu anayekuwa Rais baada ya mtangulizi wake kushindwa kuendelea madarakani?

The failure to dissolve the cabinet following the swearing of President Samia could be declared categorically and emphatically to be the worst constitutional blunder in our history.
 
Kuna mifano hai ya nchi iliyowahi kupitia kama hichi kisha Rais mpya akavunja baraza la mawaziri?

Najua tu marais waliovunja bunge na kujitangaza marais wa maisha.
 
Mzee Mwanakijiji hata wewe umeamua kuwakimbia wapiga mapambio na waimba ngonjera za kusifu na kuabudu?!
Anyway; nikuhakikishie tu kuwa in the next 4 to 5 days unachokitaka kitakuwa... Kaa kwa kutulia ngoja tuendelee kuwapelekea moto!
Hana ubavu huo...moyo wake wote na akili zake zote alijitoa kwa Jiwe la Chato!
Hizi mada anazoibuka nazo ni dalili za kuweweseka!
Walijitoa ufahamu bila kufahamu kuwa Mungu ni Fundi!
 
Kamanda hata Ford alipoingia madarakani baada ya Nickson kujiuzulu aliendelea na nawaziri walewale angalia
Ndiyo sababu mawaziri wengi hawamtii mama, ni vile hawajaapa kwake.... atapiga mikwara kila siku lakini ukweli ni huo.
Screenshot_20210426-181430.jpeg
Screenshot_20210426-181459.jpeg
 
Mkuu nimejaribu kuangalia Cabinet ya Nickson na Ford hazitofautiani sana hususani sera za fedha na mambo ya nje aliwaacha mawaziri walewale wa mtangulizi wake nijuavyo mara nyingi serikali za marekani hutofautishwa na sera ya mambo ya nje,usalama na fedha
Itokee kwamba kwa sababu zozote za Kikatiba Rais Samia anashindwa kumalizia kipindi kilichobakia Cha pili cha Magufuli na Mpango anakuwa Rais. Na yeye Mpango anachagua Makamu wake na yeye kabla ya 2025 anashindwa kumalizia na huyo Makamu anakuwa Rais..je wote watakuja wanaendelea kurithi Baraza la Mawaziri la JPM? Kwamba inawezekana kosa la kutokuvunja Baraza baada ya Samia kuapishwa ni kubwa sana ukifuatilia hitimisho lake la kimantiki?

Ni kweli Katiba inatofautisha kuapa kinachotokea baada ya Rais aliyeshinda Uchaguzi kuapa na kile kinachotokea baada ya Makamu anayekuwa Rais baada ya mtangulizi wake kushindwa kuendelea madarakani?

The failure to dissolve the cabinet following the swearing of President Samia could be declared categorically and emphatically to be the worst constitutional blunder in our history.
Screenshot_20210426-182355.jpeg
Screenshot_20210426-182408.jpeg
Screenshot_20210426-181430.jpeg
Screenshot_20210426-181459.jpeg
 
Ndiyo sababu mawaziri wengi hawamtii mama, ni vile hawajaapa kwake.... atapiga mikwara kila siku lakini ukweli ni huo.
Una ushahidi?

Hata kama akivunja atamteuwa nani ambaye hakutokana na nguvu hayati JPM humo ndani ya BUNGE?

Wakati hayati akitangaza baraza lake mara tu baada ya wiki chahe tangu uchaguzi umalizike akiwa na makamu na waziri mkuu, waziri wa mabo ya nje na waziri wa fedha alidai walioteuliwa kilikuwa kikosi tangulizi atakaye shindwa atang'olewa na kuingiza mwingine maana orodha ya 'substitution' ilikuwa ndefu.

Sasa hapo sijui unataka ateue kutokea sayari ipi?

Waliomo ndani ya bunge ni wale wale, ila wale ambao unaweza kuwaingia na kuwashawishi wakumegee kipande cha kitafunwa bado zamu ya haijafika endelea kusubiri hadi liamba (Waiting to infinity)
 
Back
Top Bottom