Swali rahisi lakini...(b)

Jibu ni kwamba mtu wa 13 hakupewa chumba yaani baada ya mtu wa 12 kupewa chumba #11 mtu wa 13 aliyebaki hakupewa chumba #12 kilichobaki na badala yake akapewa mmoja kati ya wale wawili wa chumba #1 na hivyo mtu wa 13 hakupata chumba.
Kama aliyepata chumba # 11 alikuwa ni mtu wa 12 kupata chumba,then yule aliyetolewa chumba # 1 na kupelekwa chumba # 12 alikuwa ni mtu wa 13 kupata chumba!
 
Watu 13 walifika kwenye guest house yenye vyumba 12 tu na kila mmoja alitaka chumba chake peke yake.Mhudumu alimpatia kila mmoja chumba.Alimchukua mtu wa 1 na wa 2 akawaweka chumba # 1.mtu wa 3 chumba #2,mtu wa 4 chumba #3,mtu wa 5 chumba # 4,mtu wa 6 chumba # 5,mtu wa 7 chumba # 6,mtu wa 8 chumba # 7,mtu wa 9 chumba #8,mtu wa 10 chumba # 9,mtu wa 11 chumba #10 na mtu wa 12 chumba # 11.Baada ya hapo alirudi chumba # 1 aliko waacha mtu wa 1 na wa 2,akamchukua mmoja akampeleka chumba #12.Elezea,mhudumu aliwezaje kumpa kila mmoja chumba chake peke yake?

iliwezekana kwakuwa yule mmoja alibaki kwenye chumba chake(yaani cha huyo mhudumu)
 
Haiwezekani wakaenea watu 13 ktk vyumba 12, Pokea mtirirko ulivyo nawapa majina 1Ally 2Hamadi 3Juma 4Peter 5John 6Farao 7Zena 8Ashura 9Rajabu 10Vicent 11Paulina 12Aisha 13Mwajuma.

Vyumba 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12.

Ally na Hamadi No1 - Juma No2 - Peter No3 - John No4 - Farao No5 - Zena No6 - Ashura No7 - Rajabu No8 - Vicent No9 - Paulina No10 - Aisha No11 - Mwajuma No12 Sasa hapo Ally au Hamadi waliopo chumba kimoja utampeleka wapi wakati vyumba vimejaa? Haiwezekani!
 
Haiwezekani wakaenea watu 13 ktk vyumba 12, Pokea mtirirko ulivyo nawapa majina 1Ally 2Hamadi 3Juma 4Peter 5John 6Farao 7Zena 8Ashura 9Rajabu 10Vicent 11Paulina 12Aisha 13Mwajuma.

Vyumba 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12.

Ally na Hamadi No1 - Juma No2 - Peter No3 - John No4 - Farao No5 - Zena No6 - Ashura No7 - Rajabu No8 - Vicent No9 - Paulina No10 - Aisha No11 - Mwajuma No12 Sasa hapo Ally au Hamadi waliopo chumba kimoja utampeleka wapi wakati vyumba vimejaa? Haiwezekani!
Ni kweli,idadi ya watu haiendani na vyumba.Trick iliyotumika ni ya DOUBLE COUNTING.Mtu mmoja kahesabiwa kama mtu wa pili then akahama kama mtu wa 13 kwenda kuchukua chumba namba 12.Alipokuwa chumba #1 kama mtu wa pili,hakupewa chumba bado ila mtu huyo huyo alihama na kwenda chumba #12 kama mtu wa 13 kupata chumba,hapo ndo ulipo mtego.Katika hali halisi haiwezekani vyumba 12 kutosha kwa watu 13 na kila mmoja kupata chumba chake,tulitakiwa ku-reveal hiyo double counting error tu!
 
Mseseve umeniacha hoi, so unamanisha nayeye kaja kuuliza maana haelewi? mi nashauri apange swali upya maana hajataja m2 wa 13
Nakushauri utunge swali lako,uandae marking scheme,ujibu swali halafu ujisahihishe mwenyewe!
 
AH!!HUYO MWNGNE ALIPELEKWA CHUMBA NAMBA 12 KOZ HAPO HUJAMENTION..:pound::mimba::A S 103:
Uko right mary,mtu wa 12 alikwend chumba # 11,aliyeenda room #12 alikuwa mtu wa 13 kupata chumba,lakini mtu huyo huyo alipokuwa chumba # 1,alihesabiwa kama mtu wa pili kupewa chumba lakini hakuwa na chumba bado!Samahani kwa wote mliokwazika na kijiswali hiki,tuendelee na mambo mengine wakuu wangu!
 
Kumbuka kuwa umeanza kuhesabu kuanzia 2, hilo ni jibu tosha, anzia 3 uone kama hakijabaki chumba kimoja na watu ni wengi
 
huyu jamaa swali lake halina mtego wowote , anataka kulifanya lionekane gumu tu bila sababu. mwambie achukue bakuli 12 ziwe ndo vyumba na vijiti 13 viwe ndo wageni yaani wataka vyumba then aanze kufanya kama huyo muhudumu alivyofanya aone atapata nini......
 
huyu jamaa swali lake halina mtego wowote , anataka kulifanya lionekane gumu tu bila sababu. mwambie achukue bakuli 12 ziwe ndo vyumba na vijiti 13 viwe ndo wageni yaani wataka vyumba then aanze kufanya kama huyo muhudumu alivyofanya aone atapata nini......
Haya bwana halina mtego,tuachane nalo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom