Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,615
- 2,264
- Thread starter
- #21
Hayaja tokea nimeuliza kwa tahadhari.Ukiwa na watu wa aina hiyo ujue kuna mahali unakosea
Hayaja tokea nimeuliza kwa tahadhari.Ukiwa na watu wa aina hiyo ujue kuna mahali unakosea
mkuu tunamzungumzia MTU aliekuletea taarifa kwamba BI mkubwa wako amelala na mwanaume mahala Fulani utachukua hatua gani?yah kama ni mtu anaefahamu kwamba huyo ni mamaako halafu bado anatembea nae ni dhahiri kwamba lengo lake ni kukudhalilisha. ilimtokea Lebron James, teammate wake alitembea na mamaake. si jambo jema hata kidogo.
inategemea na jinsi alivyokuletea hizo taarifa. kama kakwambia kistaarabu na kwa usiri basi hajafanya vibaya. ila kama kaongea kwa kukubeza flani hivi basi sio mtu mzuri.mkuu tunamzungumzia MTU aliekuletea taarifa kwamba BI mkubwa wako amelala na mwanaume mahala Fulani utachukua hatua gani?