Swali muhimu kuhusu Airtel

GAMBLER

JF-Expert Member
Nov 22, 2009
303
11
Wadau ninatatizwa na package za Airtel,yaani wanasema wanakupa 400mb kwa 2500/- na pai wanatoa 300 mb kw 3000/- sasa kinachonishangaza inakuaje mb kubwa bei ndogo na mb ndogo bei kubwa, naomba msaada wenu
 
400MB ni Wanasema ni kwa ajili ya kwenye simu tu,(usitake kujua undani wake sana) na 300MB ni kwa Modem....
 
mheshimiwa kwa hapo nsdhani watakua wamezidistinguish interm of Downloading & Uploading Speed. Mimi mbona na2mia 400MB kwenye 4n na modem pia na speed ni ile ile ya 3MBPS? But for further consultations basi onana na customer care wanaweza kusaidia wewe.
 
hata mini nilikuwa najiuliza sana hili swali, lakini naweza kukubali kuwa hizo mb 400 ni kwa watumiaji wa simu, kwa sababu line nnayo tumia kwenye modem baada ya kuitoa na kuihamishia kwenye simu, nilitumiwa sms ya kujiunga na bundle ya 400mb kwa 2500. Na hapo ndio ukawa mwanzo wa kula maisha na hii cheap rate kwani inakubali kwenye modem pia.
Anyway so long as inatupatia unafuu wa kutumia neti sioni kama kuna haja ya kuhoji sana.
 
@ambilia: na vipi kuhusu MB wanakata wakati unatumia kwenye mobile phone na wakati unatumia kwenye modem?
 
@ambilia: na vipi kuhusu MB wanakata wakati unatumia kwenye mobile phone na wakati unatumia kwenye modem?

MB zinakatwa sawa tu whether kama line inatumika kwenye simu au modem, ila kwenye simu huliwi kwa kasi kama kwenye modem hii ni kwa sababu browser za simu ni portable na hazi run application nyingi, za webpage ya PC version hivyo zina emit some contents na hii hupunguza matumizi ya MB zako.
Na kama utatumia webpage ya mobile version, ndo matumizi huwa chini zaidi. Mfano ukitumia simu kubrowse page ya JF ina kula kati ya 30KB hadi 50KB. Lakini ukitumia PC kubrowse page hiyohiyo inakula kati ya 1MB hadi 2MB hivi.
 
Wadau ninatatizwa na package za Airtel,yaani wanasema wanakupa 400mb kwa 2500/- na pai wanatoa 300 mb kw 3000/- sasa kinachonishangaza inakuaje mb kubwa bei ndogo na mb ndogo bei kubwa, naomba msaada wenu
na speed unapotumia pc inakuwa ndogo kigodo!

 
Hiyo inaitwa business language kwa wanaoistukia ni wachache sana kuliko wanaoitumia hiyo 400mb
 
Back
Top Bottom