Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,240
- 44,486
Kashfa ya Deep Green Finance
Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320
Mkuu hizi kashfa tatu sijawahi ziskiaKashfa ya CIS
Exquisite [emoji7]Na. M. M. Mwanakijiji
Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.
Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Sukari
- Kashfa ya Meremeta
- Kashfa ya Deep Green Finance
- Kashfa ya Richmond
- Kashfa ya Dowans
- Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
- Kashfa ya CIS
- Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320
Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.
Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Kuna tofauti kubwa sana, kashfa za Mwinyi na Samia zinagusa power ya utaifa, sovereignty, unawapa wageni eneo la square km 1500 wageni na kuondoa wananchi. Hizo kashfa zingine zinaongeleka. Hii inagusa moja kwa moja utaifa.Na. M. M. Mwanakijiji
Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.
Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Sukari
- Kashfa ya Meremeta
- Kashfa ya Deep Green Finance
- Kashfa ya Richmond
- Kashfa ya Dowans
- Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
- Kashfa ya CIS
- Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320
Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.
Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Unawaza kupinga na kutetea tu!Unataka kutetea kitu gani?
Hapo kuna utata sijakuelewa.Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Nyerere kaiuzia familia ya kifalme uk ardhi ya iringa kwa miaka mingapi?..99Kuna tofauti kubwa sana, kashfa za Mwinyi na Samia zinagusa power ya utaifa, sovereignty, unawapa wageni eneo la square km 1500 wageni na kuondoa wananchi. Hizo kashfa zingine zinaongeleka. Hii inagusa moja kwa moja utaifa.
Ndivyo ninavyochukulia... Zanzibar si nchi.Hapo kuna utata sijakuelewa.
Mbona kama vile unaifananisha Zanzibar na mkoa wa Tanzania kwenye huu mfano?
Umeona sasa... tafuta tu hapa hapa JF... ingiza tu kwenye search engine hapo juu utaletewa malink hadi uombe hati ya kusafiria (kama huna)...Mkuu hizi kashfa tatu sijawahi ziskia
Katiba haikuruhusu kuichukulia hivyo.Ndivyo ninavyochukulia... Zanzibar si nchi.
Ardhi gani ya Iringa? Aliuza kwa nani?Nyerere kaiuzia familia ya kifalme uk ardhi ya iringa kwa miaka mingapi?..99
Una umri gani?Mkuu hizi kashfa tatu sijawahi ziskia