Swali; Lipi baya mkoloni alitutendea watanganyika, CCM hawajatutendea?

Swali; Lipi baya mkoloni alitutendea watanganyika, CCM hawajatutendea?

Kachina95

Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
49
Reaction score
143
Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali:
1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM?
2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya?
3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu kuwateketeza watanganyika?
4. Uhuru wa mwaka 1961 unafaida gani kwetu raia wa Tanganyika kwa sasa?
5. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unamanufaa gani kwa raia wa kawaida wa Tanganyika ukilinganisha na hasara?

Mwisho kabisa kwa mazingira nayoyaona sasa ni bora mara 1000 tutawaliwe na wakoloni wazungu kuliko haya manyang'au.
 
Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali:
1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM?
2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya?
3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu kuwateketeza watanganyika?
4. Uhuru wa mwaka 1961 unafaida gani kwetu raia wa Tanganyika kwa sasa?
5. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unamanufaa gani kwa raia wa kawaida wa Tanganyika ukilinganisha na hasara?

Mwisho kabisa kwa mazingira nayoyaona sasa ni bora mara 1000 tutawaliwe na wakoloni wazungu kuliko haya manyang'au.
Kila ukifikiri, ni sawa kabisa
Faida ipi tunapata kujitawala? Tumekua masikini zaidi, watu wamekufa na magonjwa zaidi, umasikini zaidi, kila kitu kibaya zaidi.
 
CCM wamewazidi wakoloni weupe kwa udhalimu, mfano wakoloni hawakuua watu kwa maelfu kisha na kuwazika kwenye makaburi ya halaiki, na pia serikali ya CCM imezika watu wakiwa hai jambo ambalo wakoloni hawakufikia uovu huu.
 
Bora mkoloni tena ana utu haya majamaa ya kijani yanajaza tumbo
 
Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali:
1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM?
2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya?
3. Mkoloni alitunga sheria kandamizi na akazifuata, kwanini CCM hata sheria zao kandamizi wanazivunja ili tu kuwateketeza watanganyika?
4. Uhuru wa mwaka 1961 unafaida gani kwetu raia wa Tanganyika kwa sasa?
5. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unamanufaa gani kwa raia wa kawaida wa Tanganyika ukilinganisha na hasara?

Mwisho kabisa kwa mazingira nayoyaona sasa ni bora mara 1000 tutawaliwe na wakoloni wazungu kuliko haya manyang'au.
Jambo baya kabisa mkoloni alilotutendea ni kutuaminisha kuwa moja kati ya mawakala wa ukoloni (agents of colonialism) ni dini. Umaskini wetu umetokea hapo.
 
Back
Top Bottom