XASKEYGY
Senior Member
- Mar 29, 2020
- 134
- 116
Nimeona kila mtu analaumu kila kinachofanyika serekalini, wengine wakiweka matumaini kuwa Upinzani ukishika Dola mambo yatakuwa sawa, but wanasahau baadhi ya nchi za Africa ambazo upinzani ulikuja kushika dola na baada ya hapo ukaanza kufanya mambo yale yale ambayo walikuwa wakiyakemea...
So swali langu ni hili:
Kama ungepewa nafasi ya kubadilisha mambo matatu tu katika mfumo wa siasa na utawala wa Tanzania, ungebadilisha nini, na kwa nini?
Hoja zijengwe kwa hoja. Tusitukanane kwa sababu ya mitazamo tofauti.
So swali langu ni hili:
Kama ungepewa nafasi ya kubadilisha mambo matatu tu katika mfumo wa siasa na utawala wa Tanzania, ungebadilisha nini, na kwa nini?
Hoja zijengwe kwa hoja. Tusitukanane kwa sababu ya mitazamo tofauti.