Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Utendaji wa JK ni wa namna ambayo unatakiwa uwe na kumbukumbu nzuri ili uweze kuufanyia tathmini.Pamoja na udhaifu wake JK anapendelea kuacha mfumo ufanye kazi yake.Hii inaweza ikatafsiriwa ya kuwa hataki lawama lakini kwa upande mwingine ndo utawala wa sheria unaotakiwa katika dunia ya leo,naomba nitoe mifano.Kwanza tuangalie mgomo wa madaktari ambapo mahakama iliamuru MAT wasitishe mgomo lakini viongozi wa MAt wakakaidi,wakzima mpaka simu na mgomo ukatokea lakini leo hii Rais wao ana kesi Mahakamani akishtakiwa kwa kukaidi amri halali ya mahakama na sio JK. La karibuni,hili la kina Ponda na wenzie angeweza kuwatia hata kizuizini kwa uchochezi lakini sasa wanakabiliana na kesi ambayo hawatamlaumu Raisi na ikiwa watashinda au kushindwa itakuwa ni uamuzi wa mahakama. Tujadiliane.
Jana alitoa amri mabilioni ya JK yapelekwe kwenye VIKOBA,anaingilia mamlaka ya urais! JK yuko kimya!
Yote yanayotokea yeye kimya
Wazi....Btw...nina assume kwamba wewe ndie mama Slaa mtarajiwa.....kama ndivyo....nikupeni tu pole kwa anguko la pingamizi lenu kule high court(dhidi ya mama Rose Kamili). Labda kwa ushauri tu (kwani hata mimi nilishawahi kuwa kwenye scenario kama hii)......ongeeni na Rose Kamili myamalize haya mambo out of court.....hii ndio njia yenye busara na staha kwenu na kwa jamii ya tz inayompa heshima kubwa Dr.Slaa kisiasa.......Haya mambo yakiendelea kotini huwa hayawi na mwisho/image mzuri...kutokana na kuandikwaandikwa magazetini......hii si nzuri hata kidogo kwa mustakabali wa CDM na Dr.Slaa kisiasa....na kwako pia mama......Please talk to each other as families..out of court...na myamalize......kwanza mama Rose Kamili siku hizi yuko CDM......haingii akilini hata kidogo wao kutoelewana na Dr.Slaa wakati huu....wakati waliweza kuishi pamoja wakati yeye (Rose)akiwa ccm na Dr akiwa CDM......Please work out this issue nje ya court...mtayamaliza vizuri tu...wewe utaolewa na Rose Kamili atatulia...na Dr.Slaa atatumia muda wake kuitumikia CDM na Tz(with piece of mind)....Huu ni ushauri tu(from a well wisher)....you can take it or not.......Bunge kama muhimili unaojitegemea angeitisha kamati yake na kushirikisha bunge ambalo lingeweza kufanya maamuzi ambayo yangeweza kusukuma mihimili mingine ya Rais na mahakama kufanya maamuzi magumu.
Mbona rahisi kuelewa?
Nderi, asante kwa hili, japo sii mahala pake, unafanya usuluhishi wa kesi ya ndoa sokoni kwa kutumia laudspeaker!. Hii ulitakiwa um pm tuu!.Wazi....Btw...nina assume kwamba wewe ndie mama Slaa mtarajiwa.....kama ndivyo....nikupeni tu pole kwa anguko la pingamizi lenu kule high court(dhidi ya mama Rose Kamili). Labda kwa ushauri tu (kwani hata mimi nilishawahi kuwa kwenye scenario kama hii)......ongeeni na Rose Kamili myamalize haya mambo out of court.....hii ndio njia yenye busara na staha kwenu na kwa jamii ya tz inayompa heshima kubwa Dr.Slaa kisiasa.......Haya mambo yakiendelea kotini huwa hayawi na mwisho/image mzuri...kutokana na kuandikwaandikwa magazetini......hii si nzuri hata kidogo kwa mustakabali wa CDM na Dr.Slaa kisiasa....na kwako pia mama......Please talk to each other as families..out of court...na myamalize......kwanza mama Rose Kamili siku hizi yuko CDM......haingii akilini hata kidogo wao kutoelewana na Dr.Slaa wakati huu....wakati waliweza kuishi pamoja wakati yeye (Rose)akiwa ccm na Dr akiwa CDM......Please work out this issue nje ya court...mtayamaliza vizuri tu...wewe utaolewa na Rose Kamili atatulia...na Dr.Slaa atatumia muda wake kuitumikia CDM na Tz(with piece of mind)....Huu ni ushauri tu(from a well wisher)....you can take it or not.......
Yote yanayotokea yeye kimya
Yote yanayotokea yeye kimya
Aachie na uleigwanani, mapigano Ngorongoro yeye kimya!
HUyu Jamaa Edo Lowassa nilimsamehe makosa yake yote na nikawaza kuwa labda sasa yupo na nasi katika kujenga nchi. Lakini hivi Juzi tuu, alimkalia kooni Membe na kamti yake ya mambo ya nje kuwa kuna mapessa mabilion kwa mabilion yametumika bila sababu. Na alitka membe ampatie maelezo. Lakini kwa ghafla akakaa kimyaa mpaka leo na hajatuambia kuwa yale madai yake yamefikia wapi ya matumizi mabaya ya kamati ya membe.
Inaelekea ile ilikuwa financial restution(blackmail) ya nguvu ya kutaka kigao ili anyamze. Maana leo hii kakaa kimya na hataki kabisaa kuizungumzia scandal hiyo.
Sasa niko tayari kuyapa maiti ya mbwa kura zangu kuliko kumpatia Lowassa. Na akishinda yraisi tuu, basi mitakimbilia bai doa somali mpaka yeye amalize muda wake. Ni mtu hatari sana huyu katika uchumi wetu.
mkuu el anapower kuliko hata prezidaa,isitoshe kama rais mwenyewe yuko bize na utalii sion ubaya el kumsaidia kama prezidaa kivuli.
akiongea mtasema yeye sio AMIRI JESHI.
alipotolea kauli ishu ya Malawi makasema anautafuta Urais, sa hivi kajikalia kimya mmenza tena? Ubinadamu kazi
........... madai yake yamefikia wapi ya matumizi mabaya ya kamati ya membe.
Inaelekea ile ilikuwa financial restution(blackmail) ya nguvu ya kutaka kigao ili anyamze. Maana leo hii kakaa kimya na hataki kabisaa kuizungumzia scandal hiyo.
.........
Yote yanayotokea yeye kimya
Mbona mnalazimisha aseme yeye nani katika Serikali. Mbona hamuulizi huyo wa Msoga?
Yote yanayotokea yeye kimya