Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Yote yanayotokea yeye kimya
Na membe aachie uwaziri wa mambo ya nje kwa kumshauri vibaya JK kukutana na uhuru Kenyatta na eugine wa malwa hivyo kuibua mgogoro wa kidiplomasia ndani ya Kenya na katika jumuia ya kimataifa. Mwisho nashauri Angalia kanuni za Bunge Toleo la mwaka 2007, ili pia uangalie majukumu ya Kamati ya Bunge ya nje ulinzi na usalama na yapi, Aidha Kamati hii kwa mujibu wa kanuni hufanya kazi zake kwa faragha, hivyo si lazima lowassa aongee hadharani.Yote yanayotokea yeye kimya
Yote yanayotokea yeye kimya
Jana alitoa amri
mabilioni ya JK yapelekwe kwenye VIKOBA,anaingilia mamlaka ya urais! JK
yuko kimya!
Utendaji wa JK ni wa namna ambayo unatakiwa uwe na kumbukumbu nzuri ili uweze kuufanyia tathmini.Pamoja na udhaifu wake JK anapendelea kuacha mfumo ufanye kazi yake.Kimsingi tatizo kubwa lipo kwa JK Ingawa nashtushwa kuona hajatoa tamko kama alivyotoa ile kitu ya malawi.
Ulitegemea afanye nn kama Mwenyekiti wa kamati hiyo?
Yote yanayotokea yeye kimya
Na membe aachie uwaziri wa mambo ya nje kwa kumshauri vibaya JK kukutana na uhuru Kenyatta na eugine wa malwa hivyo kuibua mgogoro wa kidiplomasia ndani ya Kenya na katika jumuia ya kimataifa. Mwisho nashauri Angalia kanuni za Bunge Toleo la mwaka 2007, ili pia uangalie majukumu ya Kamati ya Bunge ya nje ulinzi na usalama na yapi, Aidha Kamati hii kwa mujibu wa kanuni hufanya kazi zake kwa faragha, hivyo si lazima lowassa aongee hadharani.
Anatunga sheria namna ya kuukwaa urais 2015 bila kuwabughudhi waislam na wakristo.Anawaza kutawala badala ya kuongoza
Yote yanayotokea yeye kimya