Swali la wiki: Lowassa aachie uenyekiti kamati ya ulinzi na usalama ya bunge?

Utendaji wa JK ni wa namna ambayo unatakiwa uwe na kumbukumbu nzuri ili uweze kuufanyia tathmini.Pamoja na udhaifu wake JK anapendelea kuacha mfumo ufanye kazi yake.Hii inaweza ikatafsiriwa ya kuwa hataki lawama lakini kwa upande mwingine ndo utawala wa sheria unaotakiwa katika dunia ya leo,naomba nitoe mifano.Kwanza tuangalie mgomo wa madaktari ambapo mahakama iliamuru MAT wasitishe mgomo lakini viongozi wa MAt wakakaidi,wakzima mpaka simu na mgomo ukatokea lakini leo hii Rais wao ana kesi Mahakamani akishtakiwa kwa kukaidi amri halali ya mahakama na sio JK. La karibuni,hili la kina Ponda na wenzie angeweza kuwatia hata kizuizini kwa uchochezi lakini sasa wanakabiliana na kesi ambayo hawatamlaumu Raisi na ikiwa watashinda au kushindwa itakuwa ni uamuzi wa mahakama. Tujadiliane.

Nakubalia na wewe kwenye utaratibu wa kimahakama lakini mbona serikali hiyo hiyo haitaki kuheshimu hizo taratibu za mahakama hasa pale imapokuwa imeshindwa??
 
ndugu zangu huyu jamaa EL ni kuwadi wa kibeberu hatufai, maana ni binafsi halafu haamini ktka haki, watz mkifanya kosa kumpa uongozi atawafuruga na pia maadui wote atafyeka ndani na kuwpoteza angalia monduli wasomi hawana nafac kwake isipokuwa vihiyo tu na walevi na waongo na wanafiki ndio maswahiba wake wakuu.
Ukweli ana pesa lakini ni mwongo na mwenye hila hatufai kamwe.
wakubwa nawakilishi.
 
Jana alitoa amri mabilioni ya JK yapelekwe kwenye VIKOBA,anaingilia mamlaka ya urais! JK yuko kimya!

hivi huyu lowasa mbona mnamjadili sana kwani yeye kama nani nchi hii?kwanza yeye na samweli sita wote ni wanafiki tuu wala wana jf msipoteze muda wenu kuwajadili hawa,juzi nikasikia alikuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la akina mama wa moravian nzg alafu akapata hudhuru eti akamwambia dc akamwakilishe cjui ka ma dc alienda ila kama yuko kwenye kundi lake atakuwa alienda ingawaje ckufuatilia nijue.
 
Bunge kama muhimili unaojitegemea angeitisha kamati yake na kushirikisha bunge ambalo lingeweza kufanya maamuzi ambayo yangeweza kusukuma mihimili mingine ya Rais na mahakama kufanya maamuzi magumu.

Mbona rahisi kuelewa?
Wazi....Btw...nina assume kwamba wewe ndie mama Slaa mtarajiwa.....kama ndivyo....nikupeni tu pole kwa anguko la pingamizi lenu kule high court(dhidi ya mama Rose Kamili). Labda kwa ushauri tu (kwani hata mimi nilishawahi kuwa kwenye scenario kama hii)......ongeeni na Rose Kamili myamalize haya mambo out of court.....hii ndio njia yenye busara na staha kwenu na kwa jamii ya tz inayompa heshima kubwa Dr.Slaa kisiasa.......Haya mambo yakiendelea kotini huwa hayawi na mwisho/image mzuri...kutokana na kuandikwaandikwa magazetini......hii si nzuri hata kidogo kwa mustakabali wa CDM na Dr.Slaa kisiasa....na kwako pia mama......Please talk to each other as families..out of court...na myamalize......kwanza mama Rose Kamili siku hizi yuko CDM......haingii akilini hata kidogo wao kutoelewana na Dr.Slaa wakati huu....wakati waliweza kuishi pamoja wakati yeye (Rose)akiwa ccm na Dr akiwa CDM......Please work out this issue nje ya court...mtayamaliza vizuri tu...wewe utaolewa na Rose Kamili atatulia...na Dr.Slaa atatumia muda wake kuitumikia CDM na Tz(with piece of mind)....Huu ni ushauri tu(from a well wisher)....you can take it or not.......
 
Wazi....Btw...nina assume kwamba wewe ndie mama Slaa mtarajiwa.....kama ndivyo....nikupeni tu pole kwa anguko la pingamizi lenu kule high court(dhidi ya mama Rose Kamili). Labda kwa ushauri tu (kwani hata mimi nilishawahi kuwa kwenye scenario kama hii)......ongeeni na Rose Kamili myamalize haya mambo out of court.....hii ndio njia yenye busara na staha kwenu na kwa jamii ya tz inayompa heshima kubwa Dr.Slaa kisiasa.......Haya mambo yakiendelea kotini huwa hayawi na mwisho/image mzuri...kutokana na kuandikwaandikwa magazetini......hii si nzuri hata kidogo kwa mustakabali wa CDM na Dr.Slaa kisiasa....na kwako pia mama......Please talk to each other as families..out of court...na myamalize......kwanza mama Rose Kamili siku hizi yuko CDM......haingii akilini hata kidogo wao kutoelewana na Dr.Slaa wakati huu....wakati waliweza kuishi pamoja wakati yeye (Rose)akiwa ccm na Dr akiwa CDM......Please work out this issue nje ya court...mtayamaliza vizuri tu...wewe utaolewa na Rose Kamili atatulia...na Dr.Slaa atatumia muda wake kuitumikia CDM na Tz(with piece of mind)....Huu ni ushauri tu(from a well wisher)....you can take it or not.......
Nderi, asante kwa hili, japo sii mahala pake, unafanya usuluhishi wa kesi ya ndoa sokoni kwa kutumia laudspeaker!. Hii ulitakiwa um pm tuu!.
P.
 
Yote yanayotokea yeye kimya

Hebu mwache Lowasa haujui kuwa ndiye rais wa 2015???,akitamka tu hapo mijitu itaanza kusema anapiga kampeni mwisho wa siku aonekane kaenda kinyume na kanuni za uchaguzi ndani ya chama chake wamuengue,Mwanakijiji acha kumchoche Lowassa na kumuwashia moto bana.

Aachie na uleigwanani, mapigano Ngorongoro yeye kimya!

Ili ukapewe wewe? achja wivu wa kitoto kama huo bana.ahhhhhhhhhhhh

HUyu Jamaa Edo Lowassa nilimsamehe makosa yake yote na nikawaza kuwa labda sasa yupo na nasi katika kujenga nchi. Lakini hivi Juzi tuu, alimkalia kooni Membe na kamti yake ya mambo ya nje kuwa kuna mapessa mabilion kwa mabilion yametumika bila sababu. Na alitka membe ampatie maelezo. Lakini kwa ghafla akakaa kimyaa mpaka leo na hajatuambia kuwa yale madai yake yamefikia wapi ya matumizi mabaya ya kamati ya membe.

Inaelekea ile ilikuwa financial restution(blackmail) ya nguvu ya kutaka kigao ili anyamze. Maana leo hii kakaa kimya na hataki kabisaa kuizungumzia scandal hiyo.

Sasa niko tayari kuyapa maiti ya mbwa kura zangu kuliko kumpatia Lowassa. Na akishinda yraisi tuu, basi mitakimbilia bai doa somali mpaka yeye amalize muda wake. Ni mtu hatari sana huyu katika uchumi wetu.

Umsamee kwanza wewe ukiwa kama nani???wala hatuna shida na hiyo kura yako moja tambua na amini kwamba yeye ndiye Rais ajaye,kama ni kukimbia nchi anza sasa hivi tu kutengeneza makao wala usisubiri hadi muda ufike utakuwa umechelewa.

mkuu el anapower kuliko hata prezidaa,isitoshe kama rais mwenyewe yuko bize na utalii sion ubaya el kumsaidia kama prezidaa kivuli.

Sio kweli alikuwa na power kabla prezida hajkamata dola na isitoshe ndiye pia aliyemuweka madarakani,lwakini tangu wakati huo hana power tena kama hiyo unayoifikiria,otherwise kama kuna power nyingine zaidi ninayoijua ya kiinji.

akiongea mtasema yeye sio AMIRI JESHI.

alipotolea kauli ishu ya Malawi makasema anautafuta Urais, sa hivi kajikalia kimya mmenza tena? Ubinadamu kazi

Isambe nimeipenda coment yako,ni bora uishi na fisi ndni ya nyumba lakini sio binadmu mwenye miguu na mikono miwili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
damn if u do damn if u dont....akiongea watu watasema anamu undermine Rais ambae ndio commander in chief, can you imagine lowassa aongee leo hii si kila mtu atasema anataka kumtoa boss ikulu...na hata ka akiongea itasaidia nini hana power yoyote...muwekeni ikulu muone kama hao wajinga akina ponda na wenziwe kule zenji watakua wanafanya ushenzi wanaoufanya sasa hivi
 
........... madai yake yamefikia wapi ya matumizi mabaya ya kamati ya membe.

Inaelekea ile ilikuwa financial restution(blackmail) ya nguvu ya kutaka kigao ili anyamze. Maana leo hii kakaa kimya na hataki kabisaa kuizungumzia scandal hiyo.

.........

kuna mkwara ulitangazwa, kuwa baada ya 2015, kuna baadhi ya watanzania itabidi waishi uhamishoni....sina hakika kama anawezakuwa ametishwa na mkwara huo.
 
Mnakurupuka nyie, someni kanuni za Bunge ipasavyo , Kamati ya nje ulinzi na usalama imewekewa masharti katika utekelezaji wa majukumu yake.

Haifanyi kazi kwa uwazi Kama Kamati nyinginezo, nyongeza ya Saba ya kanuni za Bunge inaitaka nuu kufanya kazi kwa uwazi wenye mipaka, sasa Sijui mlitaka nuu iite jeshi liingie mtaani au vipi?

Mwisho muwe na ufahamu wa dhana ya mgawanyo wa madaraka Bunge ni oversight body sio executive body, jadilini vitu vyenye mantiki sio lazima kila Mada uchangie.
 
Mbona mnalazimisha aseme yeye nani katika Serikali. Mbona hamuulizi huyo wa Msoga?

Ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya bunge la JMT! Wakati tunaelewa udhaifu mkubwa wa amiri jeshi mkuu na udhaifu wa wakuu wa vyombo vya usalama,nilitarajia kamati hii ya bunge kuingilia kati mapema sana na kuisimamia serikali na kuliepusha taifa na hiki kilichotokea wiki iliyopita. Kama alivyoshindwa rais na taasisi za usalama,ndivyo kamati ya Lowassa imeshindwa kuisimamia serikali!
 
Ameshasema tatizo la vurugu za majuzi ni ajira, na yeye alishalisema hilo.
Alimshukia Membe kwa kisasi, akavamia mambo ya jeshi kuhusu malawi kwa jeuri.
Hili anajificha nyuma ya ajira kwasababu anaogopa litaudhi watu!

EL ni tatizo kwa taifa!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom