Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
 
Laki mbili, hela ya mwanamke sio ya familia, hiyo ya kusukia, na ya kufanyia mchezo
 
kuna vicoba ,kuna michango ya kitchen party,sendoff,familia yake huko,saluni ,mikorogo mambo kibao hata hyo laki tano haitoshi itabidi na hyo laki ya baba imchangie kidogo mkuu

Kwanini wanawake harusi...na kitchen party wanazijali kuliko familia?
 
Mkuu.. umenikumbusha mbali sana..

Kuna swali lilishawahi kuulizwa kwenye test ya PURE MATHEMATICS nikiwa a'level..
1+1=
Huwezi kuamini, majibu yalikuja mengi mno, na solutions kabisa, hahaha..
 
Back
Top Bottom