Swali la wakubwa (ukakasi/staha)

Swali la wakubwa (ukakasi/staha)

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,298
Je wanawake Kwa siku mizunguko na kazini toka asubuhi mpaka jioni chupi moja inatosha? Au awe na mbili? Je akiwa na moja Kuanzia asubuhi mpaka jioni itatoa ule mstari wa uke (discharges) na je anaweza kufanya mapenzi bila harufu? Ya uke bila kunawa?
 
Panda daladala asubuhi kisha panda jioni kuna tofauti kubwa sana ya harufu
Eeeheeeee hii mpya kwangu kama ujuavyo jamiiforums wote tuna magari we don't use public transport ila Kwa koment hii ntapanda usafiri wa umma ili nisikie harufu mtambuka.
 
Maswali ya kiwaki ndio haya, sema hali za maisha, ila yafaa katika siku tatu za mwezi mwanamke anatakiwa awe ndani hadi amalize siku zake, ila ndio ivyo mfumo wa maisha na hali za kimaisha hazi ruhusu
 
Eeeheeeee hii mpya kwangu kama ujuavyo jamiiforums wote tuna magari we don't use public transport ila Kwa koment hii ntapanda usafiri wa umma ili nisikie harufu mtambuka.
😀😀😀 mimi sina labda lift ya jirani siku moja moja
 
Je wanawake Kwa siku mizunguko na kazini toka asubuhi mpaka jioni chupi moja inatosha? Au awe na mbili? Je akiwa na moja Kuanzia asubuhi mpaka jioni itatoa ule mstari wa uke (discharges) na je anaweza kufanya mapenzi bila harufu? Ya uke bila kunawa?
Kama mwanamke hana matatizo yoyote ikiwepo bleed anaweza kukaa siku nzima na chupi moja as long as ajue kujikausha kila anapokwenda haja ndogo

Kuna kasumba kubwa kwamba maeneo yale ya mwanamke huwa ni machafu kwa asili yanatoa majimaji muda wote na yananuka na akiwa na harakati nyingi panakua kama panavunda....... Hii sio kweli.

Mabaki ya haja ndogo ndio husababisha maeneo yale kuwa na harufu KALI yakukera na hii hutokea hata kwa wanaume ikiwa utakwenda haja ndogo na ukimaliza usipo hakikisha pamekauka vyema na ukarudishia mabaki ya haja ndogo husababisha harafu pia
 
Shangaz C huwa anakuja na bikini nikiuliza kwann anaanza kunizingusha ahahahah
 
Back
Top Bottom