Swali la w/end:Kwani ni lazima upige makelele??

Swali la w/end:Kwani ni lazima upige makelele??

Kaka namna unavyofikiri wewe ni tofauti sana na watu wengi, kwa hiyo hapa sana sana watakushangaa tu kwa kuuliza swali hili. Lakini ni swali la msingi kabisa, yeah ni kwanini wapige kelele??!! Jibu la haraka haraka ni mazoea tu. Wengi wetu tunafanya mambo mengi kimazoea na ndiyo maana tunachanga fedha nyingi kwa ajili ya harusi si kwa sababu tunahitaji sana hizo harusi bali ni mazoea tu.
 
if you are a man badili hiyo avatar yako bana inakuletea tafsiri tofauti kwa watazamaji
zimwimtu wanaoolewa halafu wakapiga makelele wana matatizo ya akili
'
Kwanini uoe/olewa ume kama mwendawazimu wa kupiga kelele hovyo?
'
Siku nikioa hata nzi alieko ndani mwangu hatajua achilia mbali watu wa barabarani!
 
zimwimtu wanaoolewa halafu wakapiga makelele wana matatizo ya akili
'
Kwanini uoe/olewa ume kama mwendawazimu wa kupiga kelele hovyo?
'
Siku nikioa hata nzi alieko ndani mwangu hatajua achilia mbali watu wa barabarani!

we ukiona makelele wennzako ni nderemo na vifijo....

btn avatar yako inanitishaga mda mwingine
 
mkuu nahisi umesoma sana hadi umekuwa profesor, naona unaover-reason. watu kipiga kelele za mashangilio za kuunga koo ni tamaduni zetu. pia kuwafunza wale ambao hawajaoa,au waliosogezana bila ndoa, kwamba kuo/kuolewa rasmi ni heshima au we hujaoa au hujahudhuria hata ya ndugu...
 
Ni mzuka tu huo mdau na mazoea pia, labda kutambulisha msafara unaopita ni wa harusi na si msiba maana kwa desturi zetu msibani mtu yeyote anakwenda lakini kwenye harusi wale wanaohusika hivyo mtu akiona honi nyingi atachofanya ni kuuliza "harusi ya nani hiyo" alafu anasepa zake lakini ikiwa kimya atajua msiba. All in all ni mazoea ambayo kuyaondoa inahitaji muda kama vile huku usukumani binti akikusalimia lazima a-bend kidogo / piga goti kiaina ambapo amezoea automatic tangu utotoni
 
mkuu nahisi umesoma sana hadi umekuwa profesor, naona unaover-reason. watu kipiga kelele za mashangilio za kuunga koo ni tamaduni zetu. pia kuwafunza wale ambao hawajaoa,au waliosogezana bila ndoa, kwamba kuo/kuolewa rasmi ni heshima au we hujaoa au hujahudhuria hata ya ndugu...
 
Ni muda tu mfupi uliopita
hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa
nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?




aisee huyu ni wewe Eiyer au kuna mtu kakuandikia lolz.

kufunga ndoa sio jambo dogo. vijana wengi wanatamani kufunga ndoa na wanashindwa.. wanakwamishwa na sababu mbali mbali ikiwemo za kiuchumi na hata kijamii. sasa weye wataka wakifikia lengo wasifurahie ??
 
Last edited by a moderator:
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'


Ni kwa sababu katika maisha ya hao wanandoa, nyakati za usiku..... yatahusisha sana suala zima la kupiga kelele...kelele za ibada...LOL
 
Ofcozzzz, kelele zitakuwepo tu:- Siku ya kuzaliwa, Siku ya kuoa, Siku ya kufa !!
 
aisee huyu ni wewe Eiyer au kuna mtu kakuandikia lolz.

kufunga ndoa sio jambo dogo. vijana wengi wanatamani kufunga ndoa na wanashindwa.. wanakwamishwa na sababu mbali mbali ikiwemo za kiuchumi na hata kijamii. sasa weye wataka wakifikia lengo wasifurahie ??
huwez kukwama kufunga ndoa sababu za kiuchumi ndugu, waweza funga ndoa kanisani ukaenda kulala nyumbani sababu ya kushindwa kupata pesa za kufanya harusi.
 
Ni muda tu mfupi uliopita hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?

Subiri utakapoolewa wewe unune nyege tu!
 
jamaa we unamambo ya kikubwa kwel.ktk jamii kunak2 knaitwa perfomativ, k2 hutolewa mara 1 na m2 muhm(assigned person) kama padr na ktk sehem maarum.kwakua ktendo hcho hakjirudii bas watu hufurahia.kuna aina nyng za kufurah ndo mana hata m2 akfark wa2 huria wakjua hawata muona tena,nayo pia ni perfomatve.wa2 pia hushangilia kama ishara ya unbilivable, wa2 hawakutegemea imetokea so hawawez kufcha hicia zao
 
Ni muda tu mfupi uliopita hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?

Njoo kwetu kwa mnyamani wiki moja kabla ya mfungo hakuna rangi utaacha ona
 
Ni muda tu mfupi uliopita hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?

Nadhani kuna jamii na jamii ambazo bado kwao harusi ni sherehe kubwa sana kwao. Kupiga kelele na matarumbeta bado ni jadi kwao kwa maana ya tamaduni.
Ipo haja ya kuvumiliana katika hili japo mabadiliko makubwa yanaendelea kutokea katika jamii zetu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom