Swali la Ugomvi: Kwani Lowassa Kawa Mganga wa Kienyeji?

mtu hufananishwa na kile anachofanana nacho. Hakuna sababu yoyote ya msingi ya watu kumshabikia Lowassa zaidi ya ile nguvu ya pete anayovaa mkono wa kulia.

Try to be a bit scientific. Akili ya kudhania kama yako isiipotoshe nchi!
 
umekuwa kama mjinga siku hizi....kila thread yako lazima useme..''swali la ugomvi''....na pia umekuwa na kasumba ya kumponda lowassa...tuachie lowassa wetu...huyo magufuli ni malaika? kwanza aliokota embe dodo chini ya mwarobaini..hakufaa kuwa hapo...kinachokuwasha nini?
 
Yaaap mzeee umenena lowasa namfanisha na Mzee was loliondo Mzee masapila kwa mda mfupi watu walimwamini watu walimiminika wagojwa kitu kikombe cha babu kikapta umaharufu watu wakatoa wagojwa mahospital babu wA watu Leo anandinga kibao katajirika watu wakapoteza maisha ndugu wanajuta kuwatoa mma zao hospital bila kufikiria hasara watakayo ipata ile nyota ya Mzee yule iko kwa lowasa mnamjua vizuri eti lowasa msafi anafaa kuwa raising eti mabadiriko yeye alikuwa huko kwa nini asifanye mabadiko yeye na rafiki ake
 
huyu jamaa kawa kama mjinga flani hivi lakini kwa kifupi ni kwamba huyu ni mmoja wao wa wale wanaotaka watz waendelee kuwa na maisha duni ili wao waoendee kula kwa kisingizio cha kuwasemea watz...ni mtu wa ajabu sana huyu na mnafiki mkubwa...yeye ndo kamfikisha hapo alipofika dr mihogo na sasa anaendelea kuleta vi makala vyaka vya kpuuzi humu....
 
Since then I have locked these two persons in one cell; Mzee Mwanakijiji and Humphrey Polepole.
Since then, I have thrown the keys until on 28th October 2015 whereby, i will release them from the cell.

I hope, during that time, they both, will come into their senses!!!!
 
we mburura kweli aise
 
Mganga wa kienyeji anaweza kukuambia lolote nawewe ukaamini! Utaanzia wapikumuuliza kitu?
Una wivu wa kike. Kaa na ccm yako. Tuachie chadema yetu. Tushibde tusishinde haikuhusu. Na wewe umekuwa Mganga wa kienyeji au yahya husein mpaka ututabirie kwamba Lowasa hawezi kubadilika? Wewe ni nani mpaka ujifanye unaweza kusoma mioyo ya watu? Wewe ulikuwa unamfaidi Dr Slaa akiwa chadema sasa ameondoka huna pa kupatia tena mkate wako wa kila siku. Fanya kazi acha kuishi kwa kutegemea siasa. Kaa huko ccm wala hatukuhitaji huku upinzani. Kulialia tu. Au ile bil 150 Dr slaa kakuunganishia?
 

Hahahhaah From Great Thinker to Great Stinker!!!!! Stinky mouth:A S wink:
 

heheheh umaarufu ameupata kipindi sahihi kabisa maana 25 october ni keshokutwa tu
 
Kwa nini awadanganye? Muda muafaka kila kitu kitawekwa kweupe. good evening!

Ndo uganga wa kienyeji unaoongelewa huo, mtu akihoji anaambiwa majibu kama 'subili muda muafaka kila kitu kitawekwa kweupe'. Ni ninyi tu ndo mtakubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia, wenye mantiki ya kuhoji hatulikubali hilo.
 

Hii tafakuri yako inapaswa iingie kwenye akili ya kila mpiga kura (sio mpiga matusi ambae inawezekana hata kujiandikisha hajajiandikisha lakini ndio wa kwanza kusema Edo ndie rais wake).

Kwa kweli ifike mahali ukweli uwekwe hadharani. Mzee Mwanakijiji umejitahaidi kufanya hivyo kwa lugha nyepesi mno. Hatukatai kwamba kila mtanzania anayo haki ya kuchaguliwa kuwa rais wa JMT iwapo atakidhi vigezo vya katiba. Lakini kwa kweli EL hachaguliki kwa kigezo cha namna yeyote.

Inahitaji uwe hujitambui, umelogwa, umekataa tamaa ya maisha kupindukia na kujiaminisha kwamba Mwenyezi Mungu hayupo hivyo mtu huyo ameyaweka matumaini ya kuishi mikononi kwa EL !! Mbaya zaidi miongoni mwa watu hao ni watu tunaowaita wasomi!!!!
 
Swadakta
 
Unakaa kusoma kitu chenye kujenga. Mtu atapotezaje kusoma porojo kama hii. Hizo nchi za wenzetu watu hawakai kupoteza muda kusoma porojo wakati kuna vitu vya muhimu anataka kuvifanya. Pia si jambo la kujisifia kukaa chini kupoteza muda kisa unaandika porojo ambayo unajua matokeo yake watu hawatasoma na wataangalia na kuishia kukukandia.
Watu Mwanakikijiji hawakuelewi kwa porojo zako wameshaamua cha kufanya. Waulizie wenzio akina Polepole wamekalia Channel Ten kutoa porojo, na watu wakiona ni yeye wanabadili channel kuendelea na vipindi vingine yeye akidhani anasikilizwa kumbe yupo peke yake. Waulize wale waliokuwa wanapiga kampaini za ohoo mgonjwa sasa wanaona anazidi kudunda tu, ohooo Richmond, wanasahau wamebeba Escrow na twiga uko Ngorongoro zinadi kupanda ndege uku mafuriko ya Lowasa yakizidi kuwa Tsunami. Uliza Tanga kunani? We kalia ughaibuni kupiga porojo tu
Siyo jambo la kujisifia; mnafikiri nchi za wenzenu zimejengwa na watu wenye kusoma mstari mmoja? Labda ndio maana mgombea fulani hazungumzi sana kwa sababu akizungumza sana anaweza akawapoteza watu bure...
 


Kwa nini unawasemea watu wanaomtaka Lowassa . . ? Wewe upo ndani ya vichwa vya watanzania wengi hivyoo..?
Na bado upo ccm pia. . . ?! Nadhani Mwanakijiji anakuzungumzia wewe hapa . . " Mganga wa Kienyeji " . .
 
Mwanakijiji ni msukule wa dokta ndio maana hizi makala za kichokozi zimezidi toka dokta alipoenda kupunguza stress Marekani
 

Kum we mzee nawe ni zuzu? looh!
 

Ikiwezekana aweke kama signature.

Na a-declare the conflict of interest.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…