wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Ina maana hata kututakia mery chrismass njema sisi wapiga kura kashindwa au bado atatoa hilo tamko baadae .
Maana sio kwa ukimya huo kwa kweli hadi tunajiuliza hivi yuko /kapatwa na nini?
Binafsi niwatakie merry chrismss njema na hapy new year.
Kwangu karibuni sana.
Maana sio kwa ukimya huo kwa kweli hadi tunajiuliza hivi yuko /kapatwa na nini?
Binafsi niwatakie merry chrismss njema na hapy new year.
Kwangu karibuni sana.