Mkuu Kubota ni kweli kabisa, Tunatatizo kubwa katika Kurithishana na vilevile aina ya biashara tunazo fanya,
Kwa Tanzania ni Wahindi pekee ndo wanaweza kuendesha biashara za familia vizuri, Wahindi kwao Elimu ya Darasani si ishu sana, that is why unakuta watoto wanashinda madukani na kwenye project zingine za Wazazi wao, Shule zikufungwa wakati watoto wa Wabongo ni kila siku wako mtaani mara viwanja, watoto wa kihindi wako bise kujifunza kwa vitendo kutoka kwa wazazi wao,
Na utagundua kwamba watoto wa Wahindi wengi wqanaishia levo ya chini ya elimu kwa sbabau kwao elimu ya darasani si ishu,
Nakumbuka kuna Mzee mmoja ambaye ni mfanya biashara mzuri sana, aliniita nikawape ushauri watoto wake waliomaliza Form six walikuwa wanataka kujoin Chuo, Kwakweli mimi ushauri nilio toa ni kwamba hawa wtoto wasomee kozi zinazo endana na kazi yako na wakimaliza waje kuendeleza biashara yako pale nguvu zitakapo kuishia,
Cha kusikitisha ushauri wangu haukuzingatiwa kabisa na watoto wakaenda kusoma kozi tofauti kabisa,
SO Wakina SONY bado jamii yake inafaidi matunda kwa sbabau kwanza waliandaliwa kunedeleza biashara za baba, so leo hii hawa jamaa wakifufuka wanaweza furahi sana kuona kazi zao zimepiga hatua sana,
Tanzania Baba akifa kinacho fuatia ni watoto kuwanza kugawana mali badala ya kuendeleza kama familiy business na kusukuma mbele wazo la baba yao, unaweza kuta Baba au mama alikuwa na Mabasi kama kumi basi akifa kila mtu anabeba lake wanagawana hati tairi za hayo mabasi,