Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Ndugu zangu wana JF
Kwasasa hii nchi imejaa wachafu wengi sana kisiasa. Kuna mafisadi kila pande kuanzia chama tawala na serikalini na hata baadhi ya vyama vya upinzani.
Ili kujenga Taifa la haki njia kuu ya kwanza ni kuliweka taifa katika hali ya usafi kwa maana kwamba wachafu wote watatakiwa wasafishwe na kutakata.
Swali je ni wapi madodoki yatapatkana?
Naomba tujadili.
Kwasasa hii nchi imejaa wachafu wengi sana kisiasa. Kuna mafisadi kila pande kuanzia chama tawala na serikalini na hata baadhi ya vyama vya upinzani.
Ili kujenga Taifa la haki njia kuu ya kwanza ni kuliweka taifa katika hali ya usafi kwa maana kwamba wachafu wote watatakiwa wasafishwe na kutakata.
Swali je ni wapi madodoki yatapatkana?
Naomba tujadili.